Zogwale JF-Expert Member Joined Jul 10, 2008 Posts 15,295 Reaction score 10,928 Feb 21, 2022 #21 Any update? Leo ndiyo 21February,. 2023
Duduvwili JF-Expert Member Joined Jan 31, 2015 Posts 4,355 Reaction score 4,476 Feb 21, 2022 #22 wamaukweli said: Ndugu wa mume sio wa kuletea nao mazoea kabisa,ukijichanganya kidogo inakula kwako mazima Click to expand... Tafuta zako ambazo sio za kutolewa macho dada angu Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
wamaukweli said: Ndugu wa mume sio wa kuletea nao mazoea kabisa,ukijichanganya kidogo inakula kwako mazima Click to expand... Tafuta zako ambazo sio za kutolewa macho dada angu Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mine eyes JF-Expert Member Joined Apr 11, 2016 Posts 6,496 Reaction score 7,162 Feb 21, 2022 #23 Duduvwili said: Tafuta zako ambazo sio za kutolewa macho dada angu Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app Click to expand... Anatafuta na mumewe... Ni zao na watoto wao.. Wengine watafute kivyao..
Duduvwili said: Tafuta zako ambazo sio za kutolewa macho dada angu Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app Click to expand... Anatafuta na mumewe... Ni zao na watoto wao.. Wengine watafute kivyao..
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 23,901 Reaction score 58,103 Feb 22, 2022 #24 keisangora said: Kilimanjaro wao ni hela tu. Yaani ukioa huko unalo jambazi ndani. Click to expand... salaalee
keisangora said: Kilimanjaro wao ni hela tu. Yaani ukioa huko unalo jambazi ndani. Click to expand... salaalee
L LOVINTAH GYM JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 459 Reaction score 653 Feb 22, 2022 #25 Tate Mkuu said: Dah! Kuna umuhimu wa kutengeneza mazingira mazuri ya wosia kwa ajili ya wapendwa wetu, kabla ya kuondoka hapa duniani. Ona sasa mke wa marehemu anateseka gerezani kwa kushutumiwa kumuua kikatili wifi yake! Familia itakuwa imeparanganyika! Kisa mali! Click to expand... ni kitu kizuri japo tunatakiwa kufundisha watoto wetu kutafuta vya kwao na kuona cha mtu ma** ili wasiwe na tamaa kiasi hichi. Hofu ya Mungu nayo ni muhimu sana.
Tate Mkuu said: Dah! Kuna umuhimu wa kutengeneza mazingira mazuri ya wosia kwa ajili ya wapendwa wetu, kabla ya kuondoka hapa duniani. Ona sasa mke wa marehemu anateseka gerezani kwa kushutumiwa kumuua kikatili wifi yake! Familia itakuwa imeparanganyika! Kisa mali! Click to expand... ni kitu kizuri japo tunatakiwa kufundisha watoto wetu kutafuta vya kwao na kuona cha mtu ma** ili wasiwe na tamaa kiasi hichi. Hofu ya Mungu nayo ni muhimu sana.