Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

Duu hii ni kiboko πŸ˜‚πŸ€£
 
We mkuu unasemaje?Wakati fulani nilienda field mahali nikakutana na mzee moja yule mzee ni Botanist by proffesion tena kasoma mpaka Germany kahudumu Kuanzia Nyerere mpaka kastaafu sio muda tu..Haya mambo mengi alituambia yapo
Nyinyi mnachanganya karama ya Mtu na miti Shamba!! Kuna watu wamejaliwa karama kubwa sana,akikutkia meme kwenye jambo lako linakua fresh,hata Kama ni kesi nzito inakukukabili!!
 


Huyo aliekwambia twende mahala ulimpa kiasi gani?
 
Mkuu,

Unapaswa kujifunza tena mwandiko, na jinsi ya kujenga hoja.
☝🏾Umekusudia kuniambia mie au umwkosea?
Ujenzi wako wa hoja huko kwenye forum zingine ndo reflection ya uwezo wako. Kazi ya makusudi inahitajika.
Sijui hoja gani nimeileta hadi nionekane kwenye mada za dino uwezo wangu mdogo?.

Up to All; Acha utoto ila ukitaka habari kamili au kutaka mdahalo wa dini funguo wayo wako twende kazi mwanangu!.
 
☝🏾Umekusudia kuniambia mie au umwkosea?

Sijui hoja gani nimeileta hadi nionekane kwenye mada za dino uwezo wangu mdogo?.

Up to All; Acha utoto ila ukitaka habari kamili au kutaka mdahalo wa dini funguo wayo wako twende kazi mwanangu!.
Kuambiwa ukweli ndo utoto? Acha ikae hivyo.

Mapungufu hayakimbiwi mkuu, bali yanakabiliwa.

Hata sasa bado mapungufu ni yale yale.

1- Uandishi mbovu.
2-Ujenzi wa hoja ni dhaifu.
3-Hueleweki unalenga kumaanisha nn hasa.

Simple.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hahaha hebu tuhadithie
 
Unafahamu ndyeki wewe Bujibuji au wewe wa mjini

Hii ndyeki iliwamaliza watu wengi sana sana, Sitaki kuelezea huu ujinga wa watu wa Mbeya miaka hiyo

Wakati huo wa Ndyeki sisi wakinga tulikuwa wakulima hatujui hata biashara
Hivi Ndyeki mkuu ni nini maana kuna mlima kama unatoka Mbalizi kwenda umalila unaitwa Mlima Ndyeki una height ndogo tu ila zamani ulikuwa maarufu kwa kusababisha ajali.
 
Inawezekana niuongo lakin ukisema kunawatu wenye pesa wamefungwa nataka nikwambie hivi so kila mtu anaamin uganga unaweza kuta mwenye pesa ailiamin pesa zake kea vile huyajui hayo mambo nyamaza, uliza watu tuliowahi kuhudhuria kesi mahakamani
 
Ni kweli ni kama wale wanaokosea namba wanapowatumia ujumbe wateja wao waliowatajirisha kupita kiasi. Unaambiwa Mizimu imeamua kukuongezea mabasi ya mikoani 100
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wanataka ufanye overtake ili mabasi ukayachukue wewe
 
Hilo la kijiti ni la kweli kabisa kuna mti porini ukiujua basi hakuna mahakama ya kukufunga hata The Hague,,kuna jamaa mwaka jana alipatikana na hatia ya kumtia mimba mwanafunzi wa form one,kesi ikapelekwa haraka haraka akapigwa mvua 30,,ndugu zake wakaungana kukata Rufaa wakafanikiwa kupata mtaalamu akawapa hicho kijiti bwana kesi ikapelekwa mahaka ya juu,,maana mwanzo alihukukiwa na mahaka ya wilaya,,kufika kule huwezi amini wale mashahidi wa mwanzo wote hadi hakimu wa kwanza walishindw toa ushahidi ulonyooka kama awali,,daktari mwenyewe alothibitisha binti ni mjamzito alipotea,,mtoto kufika mahamani akageuza maneno mwisho wa siku ikaoneka mtuhumiwa hana makosa yeyote ilikuwa ni mpango wa kumpotezaa tu,,,wakaamriwa wamlipe fidia,,jamaa yupo zake mtaani sasa hivi analea mwanae
 
Huyo mtaalamu yuko wapi?
 
wamehonga mahakama na Wazazi wa.mtoto then wanawadanganya.kuna kijiti. Wajinga ndio waliwao
 
Usiongee kumaliza mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…