🦮Alidai Sabaya na walinzi wake walikuja Arusha na yeye aliitwa na mshitakiwa wa tano katika kesi hiyo,Silverster Nyengu{26} kuwa Sabaya anamwita katika hotel ya Point Zone na alifanya hivyo baada ya nusu saa lakini alikutana getini na msafara wa magari yakiwa yanatoka na aliambiwa apande gari ya nyuma aina ya VX Masai na kujikuta akiwekwa chini ya ulinzi kwa madai kuwa amechelewesha msafara.
Mlinzi wake kamlipua sasa anaponaje?Alidai kabla ya kumaliza Ushahidi wake alimwomba Hakimu Kisinda na Mahakama yake kumpa ulinzi yeye akiwa gerezani kwani Sabaya ni mtu hatari sana ombi ambalo Hakimu alitoa maelekezo kwa Askari Magereza kuhakikisha hilo linafikishwa kwa Mkuu wa gereza Kisongo Arusha ili utekelezaji uweze kufanyika.
Kwenye Magenge ya kihuni na ujambazi ukisikia mtu akisema "Mtoe wenge" adhabu ndogo kabisa unayopewa ni kupigwa bapa la panga kichwani mithiri ya kukua. Na kweli Wenge linakutoka.🤣🤣Duuh watu wanatolewa wenge Kwa kipigo [emoji23]
Sabaaya ni mbwa!
Alikuwa na walinzi wasio Loyal kwake. Sasa siri zote hadharani.Shahidi wa mchongo.
Huo ulinzi jamaa aliouomba sidhani kama utatekelezwa.
Wakitoka nje mtaani, sabaya anaweza kumteka!Atahamishwa tu kwenda Ngome, kama yupo Somalia huku huu, kwisha, hawatakutaba na Sabaya tena.
Ni kweliHawa nao ni wahalifu tu.
Ndo wale 'wasiojulikana'!!
Chuga kutolewa wenge unazabwa makofi kwenye masikio yote mawili kwa wakati mmoja huwa wanaita 'headphone'Kwenye Magenge ya kihuni na ujambazi ukisikia mtu akisema "Mtoe wenge" adhabu ndogo kabisa unayopewa ni kupigwa bapa la panga kichwani mithiri ya kukua. Na kweli Wenge linakutoka.🤣🤣
Duh..Mwahomange alidai kuwa Sabaya alimwambia ni kwa nini anaitwa haendi kwa muda muafaka na anaenda kwa muda anaotaka na baada ya hapo aliwakabidhi walinzi na kutolewa wenge{kipigo} na kufungwa pingu
Mtetezi wa sabaya umekua mpole kama umekalia matope 🤣🤣🤣Shahidi wa mchongo.
Saabaya ni jangili mkubwa snnShahidi wa 6 katika kesi ya Uhujumu Uchumi,Utakatishaji fedha haramu na kumiliki Genga la Uhalifu inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro,Lengai Ole Sabaya {35} na wenzake sita...
Huwezi kutetea jangili ukabaki salamaMtetezi wa sabaya umekua mpole kama umekalia matope 🤣🤣🤣
Na kwa vile Sabaya alitamka kwa mdomo wake kuwa anatumia MAKONDA STYLE basi ni wazi haya yote aliyotuhumiwa na mengine kuhukumiwa Sabaya basi Makonda kesha fanya sana.Jamaa ameumiza sn watu.Wengine wamekatwa masikio,vidole n.k.
Et alikuwa anatumia makonda style of leadership!
Sabaya aliumiza wengi ambao ni Chadema, kwa hiyo wenye chuki na Chadema kwao Sabaya ni shujaa wao kulingana na fikra zao za kijinga"Kutolewa wenge" naona sasa ni zamu yake Sabaya kutolewa wenge.
Ajabu mtu huyu licha ya kukutwa na hatia na kufungwa lakini bado kuna vichaa wanamtetea bila aibu.
Ndio maisha yake huyo jamaa yalivyokuwa.Magufuri alipenda watu dizaini ya sabaya
Alikuwa nani hapo Kibaha? Watu wanamna hii ni kuweka details zao hadharani kila mtu amjueKuna mtu kule kibaha anaitwa Capt Dickson Linje. Huyu KAZI yake ilikuwa kuwabambikia watu kesi za kumtukana Magufuri.
Nadhani muda mfupi ujao tutashuhudia visasi vyao