Mahakamani: Msaidizi wa Sabaya amkaanga ile mbaya, adai ni mtu hatari sana

Mahakamani: Msaidizi wa Sabaya amkaanga ile mbaya, adai ni mtu hatari sana

SABAYA aliwekewa pandikizi bila yeye kujua!

ndio hilo linapita kuumbua na litarud mtaan
Hapana nahisi mawakili wa serikali wamempa option dogo. Amkaange Sabaya na yeye atatoka mapema au asifungwe kabisa.

Hata hiyo kuomba ulinzi akiwa mahabusu ni namna yake ya kuonyesha Sabaya ni hatari.
 
Makonda alutuhumiwa Na makosa kibao mpaka sasa anasumbuana na watu kwa kuwanyanganya mali zao si wamkamate??
 
Wakitoka nje mtaani, sabaya anaweza kumteka!

Ha ha ha! Mtu akitoka jela, hawezi Kuwa. Mbabe, uhalifu pekee labda wizi, hawezi fanya vitu vya kijinga visivyo na faida.

Huyo fala ujeuri wake ni CCM tu na huo ukuu wa wilaya. Akitoka Hana lolote, Arusha bwana kuna wababe. Huyo ni fala tu.
 
Natamani aachiwe aje uraiani tumkatekate vipande hadi mauti ya mateso kama alivyokuwa akikata na kutesa watu
 
Shahidi wa 6 katika kesi ya Uhujumu Uchumi, Utakatishaji fedha haramu na kumiliki Genge la Uhalifu inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro...
Tutasikia mengi
 
Shahidi wa 6 katika kesi ya Uhujumu Uchumi, Utakatishaji fedha haramu na kumiliki Genge la Uhalifu inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya {35} na wenzake sita...
Safi sana Watson Kwa kukataa script uliyoandaliwa na Wakili wako ili kuficha ukweli.
 
Sabaya amesoma na broo wangu mimi huyo jmaa hyo ndiyo style yake ya maisha broo anadai jamaa alikuwa ni untouchable yaan alikuwa na clue yake hyo kila anachotaka atapata tu so dah sijui itakuwaje
 
Chuga kutolewa wenge unazabwa makofi kwenye masikio yote mawili kwa wakati mmoja huwa wanaita 'headphone'

Nilikamatwa maskani nikawa mzito kutoa rushwa polisi mmoja alinipiga hiyo headphone nikabaki nasikia zzzzzzzzzzzz

Hili ndiyo wenge alilotolewa huyu shahidi kwa maelekezo ya general sabaya.
General Sabaya ni noma.
 
Kama Kesi ya Mbowe ingeendelea ingefika level hii
Kesi ya Mbowe haikuwa na Ushahidi zaidi ya kuungaunga tu ndio maana Mashahidi wenyewe Ushahidi wao haukuwa na mtiririko,mashahidi waliishia kuchafua vyoo vya Mahakama tu kila mara kwenda kujisaidia,hapa kijana kaona afunguke tu ukweli aokoe nafsi yake,Jela sio kuzuri hata kidogo
 
Baada ya Sabaya kuwakana wasaidizi wake kuwa hawajui, sasa nao wameanza kujibu mapigo. Leo mmoja wa mabaunsa wake aitwaye Watson Mwahomange ambaye ni mtuhumiwa pamoja na Sabaya katika Kesi ya Uhujumu Uchumi ameiambia mahakama kuwa Sabaya ni mtu hatari na kwamba aliwatumikisha mabaunsa wake kama mateka.

Katika maelezo yake Watson amesema wakati akifanya kazi na Sabaya, ikitokea ametuhumiwa jambo alipigwa sana na hakuruhusiwa kusema popote. Amesema Sabaya kwa kushirikiana na askari polisi wilaya ya Hai wamewahi kumpiga hadi akazirai. Ameiomba Mahakama imuongezee ulinzi atakaporudi Mahabusu maana Sabaya anaweza kuunda genge la kumshughulikia huko gerezani, baada ya kuweka wazi maovu yake.
 
Baada ya Sabaya kuwakana wasaidizi wake kuwa hawajui, sasa nao wameanza kujibu mapigo. Leo mmoja wa mabaunsa wake aitwaye Watson Mwahomange ambaye ni mtuhumiwa pamoja na Sabaya katika Kesi ya Uhujumu Uchumi ameiambia mahakama kuwa Sabaya ni mtu hatari na kwamba aliwatumikisha mabaunsa wake kama mateka.

Katika maelezo yake Watson amesema wakati akifanya kazi na Sabaya, ikitokea ametuhumiwa jambo alipigwa sana na hakuruhusiwa kusema popote. Amesema Sabaya kwa kushirikiana na askari polisi wilaya ya Hai wamewahi kumpiga hadi akazirai. Ameiomba Mahakama imuongezee ulinzi atakaporudi Mahabusu maana Sabaya anaweza kuunda genge la kumshughulikia huko gerezani, baada ya kuweka wazi maovu yake.

By Malisa
Sabaya anatakiwa awe na pingu mikononi na miguu muda wote
 
Huyu mbwa na Makonda ndio waliokuwa future ya uongozi wa nchi, Tanzania ina bahati sana
 
Back
Top Bottom