goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,432
- 5,036
Mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru. Kweli ni neno la mungu.
MUNGU haabudiwi kila mahali, yeye anautaratibu mmoja. Anachagua sehem ya kuabudiwa. Na wote watakaomuabudu hapo basi watampata na kumuona. ila woote wasiomuabudu hapo hawatakaa wamuone kamwe
Wengi wamekuwa wakienda makanisani wanaimba na kuondoka, nawao wanajua kabisa wameenda kwasababu ni utaratibu kuenda . wanaenda na kurudi kama walivyo.
Sasa hatakama ww uimbe kiasi gani, u hudhurie ibada ngapi kwa wiki, kama hukuijua sehemu aliyoichagua mungu kuabudiwa basi ww ni sawa na mfu, ni sawa na jiwe ama mti
Kumekuwa na wengi wanasema usipojiunga na kanisa letu, ama kama ww si wa kanisa letu umepotea na huendi mbinguni. Mungu kamwe hajawahi kuchagua taasisi ama shirika ilikuabudiwa.watu ndio wamejiwekea madhehebuu hayo. Hata alipokuja yesu kulikuwa na mashirika na taasisi nyingi za kidini na mungu hakuzichagua kuweka jina lake ili watu wamwabudu.
Mungu hakuchagua sehem ambayo wacheza kamari,Malaya walevi,wazizi,wanaudhuria na wana enjoy ibada.
Mungu aliificha sehem yake ya kuabudiwa,na kama hukuwahi kuitambua hujawahi kuwa mkristo
Kanisa langu anasali waziri,ama mkuu wa mkoa io haimaanishi ndio sehem aliyoichagua Mungu.
Kanisa letu ndo linaongoza kujaza watu hapa mjini. Wala hio haimaanishi kitu kwa Mungu.
Mungu hakuchagua sehemu yake ya kuabudiwa iwe sehemu zinazoongozwa kwa akili na taratibu za kibinaadam
Kumbukumbu ya torati 16;2
Nawe umchinjie pasaka Bwana mungu wako,…….. mahali alipopachagua Bwana kuweka jina lake.
yohana 17;11
wala mimi simo tena ulimwenguni,lakini hawa wamo ulimwenguni,nami naja kwako.Baba mtakatifu kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa....
MUNGU haabudiwi kila mahali, yeye anautaratibu mmoja. Anachagua sehem ya kuabudiwa. Na wote watakaomuabudu hapo basi watampata na kumuona. ila woote wasiomuabudu hapo hawatakaa wamuone kamwe
Wengi wamekuwa wakienda makanisani wanaimba na kuondoka, nawao wanajua kabisa wameenda kwasababu ni utaratibu kuenda . wanaenda na kurudi kama walivyo.
Sasa hatakama ww uimbe kiasi gani, u hudhurie ibada ngapi kwa wiki, kama hukuijua sehemu aliyoichagua mungu kuabudiwa basi ww ni sawa na mfu, ni sawa na jiwe ama mti
Kumekuwa na wengi wanasema usipojiunga na kanisa letu, ama kama ww si wa kanisa letu umepotea na huendi mbinguni. Mungu kamwe hajawahi kuchagua taasisi ama shirika ilikuabudiwa.watu ndio wamejiwekea madhehebuu hayo. Hata alipokuja yesu kulikuwa na mashirika na taasisi nyingi za kidini na mungu hakuzichagua kuweka jina lake ili watu wamwabudu.
Mungu hakuchagua sehem ambayo wacheza kamari,Malaya walevi,wazizi,wanaudhuria na wana enjoy ibada.
Mungu aliificha sehem yake ya kuabudiwa,na kama hukuwahi kuitambua hujawahi kuwa mkristo
Kanisa langu anasali waziri,ama mkuu wa mkoa io haimaanishi ndio sehem aliyoichagua Mungu.
Kanisa letu ndo linaongoza kujaza watu hapa mjini. Wala hio haimaanishi kitu kwa Mungu.
Mungu hakuchagua sehemu yake ya kuabudiwa iwe sehemu zinazoongozwa kwa akili na taratibu za kibinaadam
Kumbukumbu ya torati 16;2
Nawe umchinjie pasaka Bwana mungu wako,…….. mahali alipopachagua Bwana kuweka jina lake.
yohana 17;11
wala mimi simo tena ulimwenguni,lakini hawa wamo ulimwenguni,nami naja kwako.Baba mtakatifu kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa....