cha1509
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 258
- 402
Awali niliwaambia kuwa timu yetu ikishinda mechi ya Leo nahama Tz, Sasa Niko njiani kuelekea msumbiji , maana Sina imani na mchezo was leo,
Na wewe uliyesema utakunya kuanzia taifa Hadi mwenge tekeleza Hilo.
Asante boko kwa assist nzuri, msuva hujafanya ajizi, ukaitumia vyema nafasi hiyo. Samata umeonesha umwamba Mara baada ya kumnawisha mganda na erasto nyoni, ukapachika kitu kambani, Agree Morris umetendea haki cross ya mnyama Boko ulipojitwisha gozi Hilo na kuwafanya waganda waanze kuhaha.
Lkn hata hivyo msivimbe vichwa, bado Sana, mkienda misri kwa mpira huu tutafumuliwa, Kwanza sio tuta[emoji16] mtafumuliwa vibao vya kutosha.
Honger taifa stars, honger jiwe, nimezinyapia kumbe na wewe ulikuwa unafatilia boli kwa runinga ako.
Wengine siwataji
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe uliyesema utakunya kuanzia taifa Hadi mwenge tekeleza Hilo.
Asante boko kwa assist nzuri, msuva hujafanya ajizi, ukaitumia vyema nafasi hiyo. Samata umeonesha umwamba Mara baada ya kumnawisha mganda na erasto nyoni, ukapachika kitu kambani, Agree Morris umetendea haki cross ya mnyama Boko ulipojitwisha gozi Hilo na kuwafanya waganda waanze kuhaha.
Lkn hata hivyo msivimbe vichwa, bado Sana, mkienda misri kwa mpira huu tutafumuliwa, Kwanza sio tuta[emoji16] mtafumuliwa vibao vya kutosha.
Honger taifa stars, honger jiwe, nimezinyapia kumbe na wewe ulikuwa unafatilia boli kwa runinga ako.
Wengine siwataji
Sent using Jamii Forums mobile app