Hawa ndiyo watu walioletwa na Mungu kuwa viongozi. Sasa hivi wala si rais na wala hahitaji ulinzi anapanda train asubuhi kwenda kufundisha university. Amefungua shule yake ya Post Graduate in Engineering.Unajua jamaa anaweza kugombea tena akitaka, lakini wanamhofia sana kutokana na misimamo yake.
Binafsi namwelewa sana.
Sasa mama ukiwa mtu wa watu unadhani kuna shida gani? Shida ni roho mbaya na udhalimu unaowafanyia wenzio ndio unakunyima uhuru.Hawa ndiyo watu walioletwa na Mungu kuwa viongozi. Sasa hivi wala si rais na wala hahitaji ulinzi anapanda train asubuhi kwenda kufundisha university. Amefungua shule yake ya Post Graduate in Engineering.
Very trueSasa mama ukiwa mtu wa watu unadhani kuna shida gani? Shida ni roho mbaya na udhalimu unaowafanyia wenzio ndio unakunyima uhuru.
View attachment 853739
Protokali ndio iko hivyoAlishakuwa Prof/Phd lakini husikii initial ya Dr au Professor anapoitwa.
Kwetu kila aliyepata Phd anataka aitwe kwanza Dr kabla ya jina lake. Imeenda ikaja kwa mabalozi, na mainjinia.
Juzi nimestuka kuna afisa mmoja anaandikwa Mjiolojia flan bin flan.
Tuliosoma Kiswahili kabla ya jina unaniita kwanza Mswahili Platozoom
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aina ya watu kama Putin au Magufuli[emoji1] [emoji1] [emoji1] ...Wanaakili sanaAna akili mno
Sasa hii ni chai umetuambia kuwa mama yake ametoka kwenye ukoo wa Mtume halafu unasema hauna uhakika yeye ni kizazi cha ngapi?Ni kweli Ila sifahamu ni kizazi cha ngapi.
Nipe link mkuuHuyu mwanaume alikubali mdahalo kwenye chuo kikuu kimoja huko Marekani, aliwagaragaza vibaya sana waliotaka kumtega maswali ya kuaibisha!
Shida kubwa watu hawatizami lengo wanatizama matokeo.. Kila mtu atamjudge vile akili yake inamtuma.With good intentions
Huyu wa 2nd hand huyu mfute, unampachika sio mahala pake.[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni aina ya watu kama Putin au Magufuli[emoji1] [emoji1] [emoji1] ...Wanaakili sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmhhh!Huyu wa 2nd hand huyu mfute, unampachika sio mahala pake.[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]