Mahamoud Ahmadinejad

Mahamoud Ahmadinejad

Unajua jamaa anaweza kugombea tena akitaka, lakini wanamhofia sana kutokana na misimamo yake.
Binafsi namwelewa sana.
Hawa ndiyo watu walioletwa na Mungu kuwa viongozi. Sasa hivi wala si rais na wala hahitaji ulinzi anapanda train asubuhi kwenda kufundisha university. Amefungua shule yake ya Post Graduate in Engineering.
 
Hawa ndiyo watu walioletwa na Mungu kuwa viongozi. Sasa hivi wala si rais na wala hahitaji ulinzi anapanda train asubuhi kwenda kufundisha university. Amefungua shule yake ya Post Graduate in Engineering.
Sasa mama ukiwa mtu wa watu unadhani kuna shida gani? Shida ni roho mbaya na udhalimu unaowafanyia wenzio ndio unakunyima uhuru.
38864880_10216473083602411_1354719954598887424_n.jpg
 
Alishakuwa Prof/Phd lakini husikii initial ya Dr au Professor anapoitwa.

Kwetu kila aliyepata Phd anataka aitwe kwanza Dr kabla ya jina lake. Imeenda ikaja kwa mabalozi, na mainjinia.

Juzi nimestuka kuna afisa mmoja anaandikwa Mjiolojia flan bin flan.

Tuliosoma Kiswahili kabla ya jina unaniita kwanza Mswahili Platozoom

Sent using Jamii Forums mobile app
Protokali ndio iko hivyo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa alikua ngangari sana, hata alipotaka kugombea tena nilitamani ashinde kwa mara nyingine, anauwezo wa kusimama kidete dhidi ya ubepari, hutuba zake akiwa UN akitetea haki ya taifa lake kutumia nishati ya nyukilia ilikua ni uthubutu wa MTU jasiri anayepaswa kuigwa na viongozi wengine wa nchi kandamizwa na ubepari,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namkubali sana this iranian former president kwa misimamo yake.
 
Back
Top Bottom