Mahamoud Ali wa Djibouti ashinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) dhidi ya Raila Odinga kutoka Kenya

Mahamoud Ali wa Djibouti ashinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) dhidi ya Raila Odinga kutoka Kenya

Huwezi kuwa inatokea Nchi ya wasakiti na vibaraka kama Kenya harafu ukashinda.

Odinga ni mgombea sahihi ilakutoka Nchi ya hovyo 🤣🤣🤣😬

Pole sana Mzee ndio hivyo tena maisha yaendelee

My Take
Hii ni mara ya pili Kenya kuangukia pua,Tanzania hatujawahi shindwa popote.

View: https://www.instagram.com/p/DGGTdQ-oSgC/?igsh=emRtNDhycXcxcjNu

Hapa udini na francophone vimechangia kumuangusha pia unafiki wa SADC..

Raila ndiye mgombea aliyekuwa anafaa zaidi kuliko hao wengine.
 
Huyo mgombea wa Djibouti mbona hakuwa na umaarufu huo wa kumshinda Tata Odinga!!!
Wewe Huwa hufuatilii mambo hayo ndio maana hujui kitu.

RAU ni maarufu huku kwenu sio huko kwingine.

Na Kwa taarifa Yako tuu,pamoja na Rais Samia kumualika kwenye mkutano wa Nishati kama njia ya kumnadi ila mgombea wa Djibouti Ali tweet Kwa Samia akisema anapoteza mda,yeye Mahmood ndio atashinda hiyo nafasi 🤣🤣
 
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Umoja wa Afrika maarufu (AU)

Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud alishinda dhidi ya Raila Odinga ambaye alikuwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Maahariki

Raila alishinda duru mbili za kwanza lakini akapoteza duru tatu zilizofuata kwa Mahamoud Ali Youssouf wa Djibouti.

Katika duru ya kwanza, Odinga alipata kura 22 huku Mahamoud akipata kura 18 na Randriamandrato alipata kura 10.


Katika duru ya pili, alipata kura 20, Mahamoud 18, na Randriamandrato 10. Hata hivyo, Mahamoud alimshinda Odinga kwenye duru ya tatu kwa kura 23 dhidi ya 20 za Raila.

Odinga alikuwa akiwania nafasi hiyo na wagombea wengine ili kumpata atakayemrithi Moussa Faki Mohamed, Waziri Mkuu wa zamani wa Chad anayetarajia kumaliza muhula wake wa pili wa uenyekiti wa AU mapema mwakani.

Hii ni mara ya pili Kenya kutupa karata yake katika kuwania nafasi hiyo, ilifanya hivyo mwaka 2017 alipogombea Amina Mohammed lakini hakufanikiwa.

Katika uchaguzi wa nafasi hiyo, wakuu wa nchi za Afrika, wamepiga kura kwa siri na inahitaji kupata angalau theluthi mbili ya 36 ili kumpata mshindi.

=================================================

Kenya’s candidate in the African Union Commission (AUC) Chairperson elections, Raila Odinga, has lost the race in the exercise that was conducted in Addis Ababa, Ethiopia.

Raila won the first two rounds of voting, but then went on to lose the next three rounds to Djibouti candidate Mahamoud Ali Youssouf.

In the first round, Raila garnered 20 votes against Mahamoud’s 18, while Richard Randriamandrato of Madagascar bagged 10 votes. There was one abstained vote.

In the second round, Raila secured 22 votes, Mahamoud got 19, and Randriamandrato received 7 votes. One nation abstained from the second round as well.
The former Kenyan Prime Minister, however, came up short in the third round after receiving 20 votes, losing to Mahamoud who rose to first place with 23 votes, while Randriamandrato came third with 5 votes.
There was still one abstention, and Randriamandrato was eliminated from the election, leaving Raila head-to-head against Mahamoud.

Mahamoud maintained his lead in the fourth round, scoring 25 votes against Raila’s 21 votes. There was one spoilt vote while one nation abstained.
In the fifth round, Mahamoud garnered 26 votes while Raila scored 21 votes, and one nation abstained from the vote.
Mahamoud maintained his lead into the sixth round, garnering a similar 26 votes, while Raila got 22 votes with one abstention.

Source: Citizen Digital
Masikini RAO..

MK254
 
Raundi ya kwanza

Odinga 20, mgombea wa Djubut 18 na Mgombea wa SADC 10

Round ya pili

Raila Odinga 22, mgombea wa Djubut 19 na Mgombea wa SADC

Unadhani kwanini Raila Odinga amefeli? 🐼
 
Back
Top Bottom