Mahamoud Ali wa Djibouti ashinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) dhidi ya Raila Odinga kutoka Kenya

Mahamoud Ali wa Djibouti ashinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) dhidi ya Raila Odinga kutoka Kenya

Huwezi kuwa inatokea Nchi ya wasakiti na vibaraka kama Kenya harafu ukashinda.

Odinga ni mgombea sahihi ilakutoka Nchi ya hovyo 🤣🤣🤣😬

Pole sana Mzee ndio hivyo tena maisha yaendelee.

View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1890788433095770264?t=QRzw9yOabqLLKXXgzZhezA&s=19

My Take
Hii ni mara ya pili Kenya kuangukia pua,Tanzania hatujawahi shindwa popote.

View: https://www.instagram.com/p/DGGTdQ-oSgC/?igsh=emRtNDhycXcxcjNu

Raila Odinga alikuwa anaungwa mkono na Samia,Jakaya na wana ccm wengine kama Jesca Magufuli. Marais wote wa Africa mashariki pamoja na Jakaya walimpigia kampeni Raila Odinga lakini ameangukia pua.
 
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC).

Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud alishinda dhidi ya Raila Odinga ambaye alikuwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki

Raila alishinda duru mbili za kwanza lakini akapoteza duru tatu zilizofuata kwa Mahamoud Ali Youssouf wa Djibouti.

Katika duru ya kwanza, Odinga alipata kura 22 huku Mahamoud akipata kura 18 na Randriamandrato alipata kura 10.


Katika duru ya pili, alipata kura 20, Mahamoud 18, na Randriamandrato 10. Hata hivyo, Mahamoud alimshinda Odinga kwenye duru ya tatu kwa kura 23 dhidi ya 20 za Raila na Randriamandrato aliyepata kura 5 na kushika nafasi ya tatu.

Pia soma: Uchaguzi wa Mwenyekiti wa kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) waingia duru ya pili. Odinga atashinda?

Odinga alikuwa akiwania nafasi hiyo na wagombea wengine ili kumpata atakayemrithi Moussa Faki Mohamed, Waziri Mkuu wa zamani wa Chad anayetarajia kumaliza muhula wake wa pili wa uenyekiti wa kamisheni hiyo mapema mwakani.

Hii ni mara ya pili Kenya kutupa karata yake katika kuwania nafasi hiyo, ilifanya hivyo mwaka 2017 alipogombea Amina Mohammed lakini hakufanikiwa.

Katika uchaguzi wa nafasi hiyo, wakuu wa nchi za Afrika, wamepiga kura kwa siri na inahitaji kupata angalau theluthi mbili ya 36 ili kumpata mshindi.

=================================================

Kenya’s candidate in the African Union Commission (AUC) Chairperson elections, Raila Odinga, has lost the race in the exercise that was conducted in Addis Ababa, Ethiopia.

Raila won the first two rounds of voting, but then went on to lose the next three rounds to Djibouti candidate Mahamoud Ali Youssouf.

In the first round, Raila garnered 20 votes against Mahamoud’s 18, while Richard Randriamandrato of Madagascar bagged 10 votes. There was one abstained vote.

In the second round, Raila secured 22 votes, Mahamoud got 19, and Randriamandrato received 7 votes. One nation abstained from the second round as well.

The former Kenyan Prime Minister, however, came up short in the third round after receiving 20 votes, losing to Mahamoud who rose to first place with 23 votes, while Randriamandrato came third with 5 votes.

There was still one abstention, and Randriamandrato was eliminated from the election, leaving Raila head-to-head against Mahamoud.

Mahamoud maintained his lead in the fourth round, scoring 25 votes against Raila’s 21 votes. There was one spoilt vote while one nation abstained.

In the fifth round, Mahamoud garnered 26 votes while Raila scored 21 votes, and one nation abstained from the vote.

Mahamoud maintained his lead into the sixth round, garnering a similar 26 votes, while Raila got 22 votes with one abstention.

Source: Citizen Digital
Mimi binafsi sioni faida yoyote ile ya kuwepo kwa hiyo Taasisi inayoutwa African Union (AU). Je, ina faida gani hasa kwa Wananchi wengi zaidi wa kawaida waliopo katika bara hili la Afrika? A toothless institution, hopeless kabisa!

AU kwa sasa imekuwa Kama Kusanyiko tu la wazee Madikteta wanaolihujumu bara hili kwa kujineemesha wao wenyewe binafsi, familia zao pamoja na Vibaraka wao wa karibu.
 
Jamaaa anarudi kumsumbua Ruto.......alitulia kidogo akisikilizia hii nafasi.......kwa sasa kaikosa anarudi kumpelekea shido Ruto
 
Basi mlikuwa mmepata cheo ambacho hakustahili! Baba wa mageuzo Afrika Mashariki ni Mwai Kibaki!
Mkuu aligeuka juzi tu. Kabla ya hapo alikuwa anastahili kabisa. BTW Mwai Kibaki na kuna ule uchaguzi waliokufa watu wengi kwa sababu aligeuza matokeo ambayo Raila ndiye alishinda. Japo walikuja kukubali kuunda katiba mpya lakini doa la ule uchaguzi halitafutika.
 
Raila Odinga alikuwa anaungwa mkono na Samia,Jakaya na wana ccm wengine kama Jesca Magufuli. Marais wote wa Africa mashariki pamoja na Jakaya walimpigia kampeni Raila Odinga lakini ameangukia pua.
Huwezi tokea Nchi ya ma snitch ukashinda,hata upigiwe kura na Malaika
 
Non sense excuses
Mtu kama wewe Hujui chochote kwenye siasa za kimataifa.
Niliwahi fanya kazi na taasisi za AUC nchi zinazoongea kifaransa ambazo nyingi ni za Africa magharibi za kislamu ndio zimetawala AUC hata wapiga kura ndio wengi na wanaumoja kuliko nchi zinazoongea kingereza...
Tafuta gazeti la leo wamechambua vitu

 
Mtu kama wewe Hujui chochote kwenye siasa za kimataifa.
Niliwahi fanya kazi na taasisi za AUC nchi zinazoongea kifaransa ambazo nyingi ni za Africa magharibi za kislamu ndio zimetawala AUC hata wapiga kura ndio wengi na wanaumoja kuliko nchi zinazoongea kingereza...
Tafuta gazeti la leo wamechambua vitu

Mlikatazwa na nani nyie wengine kuwa na umoja?
 
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC).

Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud alishinda dhidi ya Raila Odinga ambaye alikuwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki

Raila alishinda duru mbili za kwanza lakini akapoteza duru tatu zilizofuata kwa Mahamoud Ali Youssouf wa Djibouti.

Katika duru ya kwanza, Odinga alipata kura 22 huku Mahamoud akipata kura 18 na Randriamandrato alipata kura 10.


Katika duru ya pili, alipata kura 20, Mahamoud 18, na Randriamandrato 10. Hata hivyo, Mahamoud alimshinda Odinga kwenye duru ya tatu kwa kura 23 dhidi ya 20 za Raila na Randriamandrato aliyepata kura 5 na kushika nafasi ya tatu.

Pia soma: Uchaguzi wa Mwenyekiti wa kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) waingia duru ya pili. Odinga atashinda?

Odinga alikuwa akiwania nafasi hiyo na wagombea wengine ili kumpata atakayemrithi Moussa Faki Mohamed, Waziri Mkuu wa zamani wa Chad anayetarajia kumaliza muhula wake wa pili wa uenyekiti wa kamisheni hiyo mapema mwakani.

Hii ni mara ya pili Kenya kutupa karata yake katika kuwania nafasi hiyo, ilifanya hivyo mwaka 2017 alipogombea Amina Mohammed lakini hakufanikiwa.

Katika uchaguzi wa nafasi hiyo, wakuu wa nchi za Afrika, wamepiga kura kwa siri na inahitaji kupata angalau theluthi mbili ya 36 ili kumpata mshindi.

=================================================

Kenya’s candidate in the African Union Commission (AUC) Chairperson elections, Raila Odinga, has lost the race in the exercise that was conducted in Addis Ababa, Ethiopia.

Raila won the first two rounds of voting, but then went on to lose the next three rounds to Djibouti candidate Mahamoud Ali Youssouf.

In the first round, Raila garnered 20 votes against Mahamoud’s 18, while Richard Randriamandrato of Madagascar bagged 10 votes. There was one abstained vote.

In the second round, Raila secured 22 votes, Mahamoud got 19, and Randriamandrato received 7 votes. One nation abstained from the second round as well.

The former Kenyan Prime Minister, however, came up short in the third round after receiving 20 votes, losing to Mahamoud who rose to first place with 23 votes, while Randriamandrato came third with 5 votes.

There was still one abstention, and Randriamandrato was eliminated from the election, leaving Raila head-to-head against Mahamoud.

Mahamoud maintained his lead in the fourth round, scoring 25 votes against Raila’s 21 votes. There was one spoilt vote while one nation abstained.

In the fifth round, Mahamoud garnered 26 votes while Raila scored 21 votes, and one nation abstained from the vote.

Mahamoud maintained his lead into the sixth round, garnering a similar 26 votes, while Raila got 22 votes with one abstention.

Source: Citizen Digital
Pole yake na hongera kwa aliyeshinda!
 
Mlikatazwa na nani nyie wengine kuwa na umoja?
Ndio maana nakuambia hujui chochote kafutilie siasa za ufaransa barani Africa.
Pia fuatlia kwanini Rais wa Kenya alimpigia simu Rais wa ufaransa kabla ya uchaguzi
 
Ndio maana nakuambia hujui chochote kafutilie siasa za ufaransa barani Africa.
Pia fuatlia kwanini Rais wa Kenya alimpigia simu Rais wa ufaransa kabla ya uchaguzi
Wewe unaejua Kwa nini hamkuungana mshindwe? 😁😁
 
..Rais Samia Suluhu ameshindwa kuwashawishi viongozi wenzake wampigie kura Raila Odinga.

..enzi za Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, mgombea aliyeungwa mkono na Tanzania ilikuwa lazima ashinde.
Kimataifa Sasa hivi tuko hoi , Rais hana ushawishi pia Waziri wake Hana ushawishi
 
Mbona salim Ahmed hakuwa katibu wa UN licha ya kutakiwa na Hyyo unayemwita ana yshawishi lakini koffi Annan aliweza justify your comment
Hujui lolote ushawishi ulikuwa mkubwa sana tulishindwa kwa kura ya veto Toka Marekani
Lakini Salim alishinda
 
Wewe unaejua Kwa nini hamkuungana mshindwe? 😁😁
Nani kakuambia nahitaji ushindi
Si kila anayekupa mawazo tofauti yupo upande fulani mimi siko upande wowote na wala hainisaidii chochote..

Nimekupa uhalisia wa ya AUC na taasisi zake ufaransa Ina nguvu mno kwenye hiyo taasisi Hilo ni jambo halisi na wala halipingiki
 
Raida Odinga "baba" ameshindwa kupata kura za kutosha kushinda nafasi tajwa hapo juu
Ila kilichonifanya niandike hapa, sio habari ya kushindwa BALI ni Mshikamano walio onesha Wakenya wakati wote wa kugombe na hata baada ya kushindwa.
Yaani mtu wao akienda kutetea uwakilishi Nje wanakuwa na mshikamano wa hali ya juu hadi raha.
Iwe ni kwenye uwakilishi wa Riadha, mpira, masumbwi, siasa nk nk wanashikamana Wakenya wote kumpa sapoti. Nafikiri kuna namna Elimu yao inawapa maono (exposure) au inawasaidia kuondoa ujinga na husuda ya kutotaka mwingine apate/afanikiwe.
Hapa kwetu Simba/Yanga inacheza Nje wengine wanatumia hata fedha za kuihujumu...
Niliumia sana mchezaji wetu wa mpira alivyocheza ulaya watu wakawa wanatuma meseji za hovyo hadi huko kilabuni kwake...Inasikitisha sana!
Tuna la kujifunza!
 
Hujui lolote ushawishi ulikuwa mkubwa sana tulishindwa kwa kura ya veto Toka Marekani
Lakini Salim alishinda

..kulikuwa na upotoshaji mwingi.

..tafuta taarifa za vyombo vya kimataifa kuhusu uchaguzi huo.

..Usitegemee propaganda za Uhuru na Daily News wakati ule.

..Salim Salim hakuwa na nafasi ya kushinda UN.

..veto ya Marekani ilikuwa sababu mojawapo, lakini kura za Salim Salim zilikuwa zinapungua, na sio kuongezeka, kadiri zoezi lilivyokuwa linaendelea.
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) dhidi ya #RailaOdinga kutoka Kenya ambaye alikuwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki.

Uchaguzi huo uliofanyika nchini Ethiopia, Odinga alishinda duru mbili za kwanza lakini akapoteza katika duru tatu zilizofuata kwa kupata kura 20 huku Mahamoud akishinda kwa kura 23.

Aidha, Mahamoud atarithi nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti Moussa Faki Mohamed ambaye ni Waziri Mkuu wa zamani wa Chad anayetarajia kumaliza muhula wake wa pili wa Uenyekiti wa #AU mapema Mwaka 2026.

Chanzo: Mtandao wa JamiiForums

Kushindwa kwa Odinga kumeonyesha kuwa Viongozi wote wa EAC waliokuwa wakimpigia Chapuo ni 'Kipa Katoka' tupu.
Inafurahisha sana hohohoho hoooooo
 
Back
Top Bottom