Elections 2010 Mahanga akamatwa na polisi, akamatwa na kura feki

Elections 2010 Mahanga akamatwa na polisi, akamatwa na kura feki

Hivi mwenendo wa kura jimbo la Segerea iko je? Mwenye information yeyete tunaomba atufahamishe.
 
yah i kknow mahanga vizuri sana...
mana ni mtu wa karbu na parent wangu ... hivyo PHD yake sio ya ukweli 100%..
au nitoe ushaidi wa uakika>???

:nono::nono::nono::nono::nono:
 
Huyu kasoma kwa kuungaunga. NABOCE---NAD----CPA---CSP----Msc. Finance (IFM)-------PhD(NHC)..(National Housig Corporation)

Buhahahahahahaha watu wanamidomo mibaya jamani khaaaaaaa, mwenyekiti naye anayo ya kwakwe ya kina manyaunyau hehehehehe.
 
kwani huyu Mahanga ni chadema au CCM ? kama ni yule Makongoro Mahanga hata mimi simpendi kabisa hawa ndo wasanii wenyewe tuwachanechane tuwatupe !
 
Phd zao za bagamoyo,kwa hiyo matendo yao nayo tuyategemee hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom