najaribu kufuatilia hata sielewi @all...kama kuna picha nisaidieni...nijue mnazungumzia kitu gani!
kwa mandingo maana yake nin? Sisi hatuchezi, ananifundisha.
jamani kwani una weza cheza dushelele kwenye mtandao??
Labda miili ingekua na bluetooth ningeweza.
Jamani jina langu nime inherit from my grand pa...
Nami niweke mambo hadharani! Eneo la kifua cha mwanamke ndilo kitengo pekee kinachonichukulia muda kuliko kwengineko, nilivyofundwa jandoni kuna miamala 7 ya ku'play na matiti .
hahahaha! Zikiwekwa picha thread itahamishwa shem.
jamani kwani una weza cheza dushelele kwenye mtandao??
Labda miili ingekua na bluetooth ningeweza.
Jamani jina langu nime inherit from my grand pa...
jina lako maana yake nini? Mi nishaanza kukuogopa. Lol
kama haina bluetooth mbona mama yoyo akipiga simu huku chini suruali inakua kama inatuna?...
hakuna babu alieitwa mandingo...hivi huyo bint anauweza mziki wa mandingo kweli?...si atapaliwa!
Uzuri wa mwanamke ni maumbile yake..
Tabia yake hata iwe bora vipi siyo "reception" yake...........
Ingawaje tabia nzuri baadaye huja kufunika maumbile yake.......
Lakini, ukweli usiokwepeka ni kuwa "first impression endures in a man's heart........."
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Sura kweli yaweza kunizuzua na butwaa kupigwa.......
Tabasamu lake laweza kunitikisa na magoti yangu kuweweseka.............
Macho yake akinirembulia yaweza kunivuta nami kuvutika naye, hata fikra zangu kughafilika.......
Mashavu yake yakinesanesa huweza kunilainisha....nami nikachanganyikiwa!
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Usafiri wake waweza kunifikirisha na hata kuwaza yasiyowazika
Kiuno chake chaweza kunipagawisha na kuniacha nishike tama.
Wowowo lake halinipi maruerue nikifahamu wenzangu wengi nitatofautiana nao,
Miondoko yake yaweza kutia chachu lakini haijitoshelezi, kamwe......
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Kwangu mie, lazima nikiri hadharani ya kuwa........
Mambo yote tisa lakini kumi kwangu ni chuchu zake.......
Chuchu zake hunipagawisha na huamini ndizo funga kazi.....
Haya ninayasema nikielewa majukumu ya chuchu kwenye mechi........
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Mabusu motomoto kwenye mechi hayahamasishwi na "reception"...
Lakini mechi haikamiliki kama chuchu sijazing'ata mie.............
Sijui kwako imekaaje lakini sioni kama mechi imekamilika......na kusikika ikiiva...
Nakhofu kufafanua kwani sijui una umri gani?
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Ndugu zangu wa BKB naona mmejifunua, kwenye fani mmewiva ila what if kama chuchu latoa msosi wa mtoto utalitumiaje? Au bado nalo lastahili kunyonywa? Kulitomasa kwa mkono hakuna hamasa kama ile ya kulitawala kwenye mdomo, nahitaji kujuzwa hapo tu!
Uzuri wa mwanamke ni maumbile yake..
Tabia yake hata iwe bora vipi siyo "reception" yake...........
Ingawaje tabia nzuri baadaye huja kufunika maumbile yake.......
Lakini, ukweli usiokwepeka ni kuwa "first impression endures in a man's heart........."
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Sura kweli yaweza kunizuzua na butwaa kupigwa.......
Tabasamu lake laweza kunitikisa na magoti yangu kuweweseka.............
Macho yake akinirembulia yaweza kunivuta nami kuvutika naye, hata fikra zangu kughafilika.......
Mashavu yake yakinesanesa huweza kunilainisha....nami nikachanganyikiwa!
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Usafiri wake waweza kunifikirisha na hata kuwaza yasiyowazika
Kiuno chake chaweza kunipagawisha na kuniacha nishike tama.
Wowowo lake halinipi maruerue nikifahamu wenzangu wengi nitatofautiana nao,
Miondoko yake yaweza kutia chachu lakini haijitoshelezi, kamwe......
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Kwangu mie, lazima nikiri hadharani ya kuwa........
Mambo yote tisa lakini kumi kwangu ni chuchu zake.......
Chuchu zake hunipagawisha na huamini ndizo funga kazi.....
Haya ninayasema nikielewa majukumu ya chuchu kwenye mechi........
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Mabusu motomoto kwenye mechi hayahamasishwi na "reception"...
Lakini mechi haikamiliki kama chuchu sijazing'ata mie.............
Sijui kwako imekaaje lakini sioni kama mechi imekamilika......na kusikika ikiiva...
Nakhofu kufafanua kwani sijui una umri gani?
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Ruta bwana uko ''penzini nini kipindi hiki??'' maaana hizi mada duu!!
Anyway, kwa mie mdada chuchu ipate mnyonyaji mzuri siyo tu kuparamia.. x-bf mmoja alkikuwa akiipaka ice cream iliyoyeyuka au asali mara nyinginezo halafu kuyalamba nyonyoz na chuchu kiustadiii, kiruuu sitosahau nakwambia. yaa i alikuwa anayashughulikia hayo, mmh!! ilikuwa raha.. kuna mmoja aliwahi kuning'ata nikamtia konzi, heee nilishtukaje kama vile kitoto kilikuwa kinanyonya!