Kwa Hali ya maisha ilivyo ngumu Bado Tanesco mkoa wa Mbeya, wanazima umeme kila siku wilaya ya chunya bila kujali kuna watanzania wala bila kujali ni Jimbo lilliloko mikononi mwa ccm.
Katika hali ya kushangaza wananchi wameamua kumjulisha Maharage Chande , kuwa ana mbinu Za kuing’oa ccm madarakani huko wilaya ya chunya.
Cc: January makamba