Maharage Chande: Treni ya umeme itatumia umeme wa TANESCO

Vituko vitakuwa vingi, kuna lijamaa litamtumia nauli ashura nauli ya kwenda dar kwa treni umeme ukikatika wanalala njiani huku simu zimezima , treni nayo imezima, nyuzi za malalamiko humu zitakuwa nyingi kuliwa nauli kumbe tanesco ndo shida.
 
Maharage yenyewe kuiva kwa mkaa tabu ndio itakuwa umeme....Ndio maana tunasema ukila maharage mchana lazima usinzie tu....
 
Mbona bei ya usafiri huo ni kubwa na umeme ni wa Tanesco?
 
Hospital zinasimama kutoa huduma umeme unapokatika, kama umezidiwa Mungu tu ndo atakusimamia. Tren tajwa sasa, usafiri wa muda na usio wa uhakika maana muda wowote maharage akikorofishana na bb wake hasira zake zikahamia umemeni, wale wa tren mnalala maporini🤣🤣. Sababu aagh mabwawa yamekauka.😂😂😂
 
Kwani tuna umeme mwingine zaidi ya wa Tanesco...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…