kalikalanje
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 226
- 285
Samia ndiyo hajitambui na ndiyo maana anateua watu kama Makamba na Maharage kuendesha wizara nyeti ya NishatiHilo swali muulize Samia mwenyewe kigeugeu, enzi za mwendazake alisema 27000 ndio mpango mzima, leo kakamata ofisu yeye anasema 27000 ni usanii haitoshi
DSTV na Azam wakikuuzia decoders na dishes, hivyo vitu vinakuwa vya kwako mteja, sio vyao.Na tatizo lingine la sisi Watanzania ni ule ujuaji uliopitiliza na kuona wengine wote wako blank. Una uhakika kuna hiyo source ya kutoa mtaji wa kufanya yote hayo?!
Washauri basi na Dstv Na akina Azam wasiuze Decoders na Dishes wafunge tu tutalipa subscription..
Hivi huyu ni maharage ya wapi?Leo tarehe 23.02.2022 mkurugenzi wa TANESCO, MAHARAGE CHANDE ameongea na vyombo vya habari kwa kueleza umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27, 000/= tuache kupeana maneno matamu matamu katika kuendesha shirika hilo. Amesema ni vigumu sana kutofautisha mjini na vijijini kwani wote wanahitaji huduma hiyo kitu ambacho inasababisha shirika hilo kujiendesha kwa hasara kubwa!
Aidha kwa maoni yangu waziri wa nishati na Naibu wake je wakati wakiwasilisha taarifa mbalimbali za utendaji wa shirika hilo hawakai na wataalamu wakaambiwa kuhusu bei hizo za kuunganishiwa umeme?
Kutokana na kauli hizo kati ya waziri na mkurugenzi wa Tanesco ni kauli zipi ambazo umma utakuja kuziamini kutokana na mkanga'nyiko huo ambao hauleweki wa umeme wa tsh 27,000/=?
Ni hatari sana kwa mkurugenzi wa Tanesco kuambia umma kuwa unawezaje kununua tv ya sh 1,000,000/= halafu uhitaji umeme wa tsh 27000/= akumbuke kuwa hii nchi ni ya kwetu sote hata hivyo kutokana na nyakati tulizopo tulihitaji umeme wa gharama ya chini na siyo kukatisha tamaa umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27,000/=.
Kwa hali hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana kila sababu kufatilia kwa karibu utendaji wa shiraka hilo na Wizara ya Nishati kwa ujumla kwani tayari wananchi wameshaanza kutokuwa na imani na watendaji wa Tanesco na wizara husika.
Each company has its strategy DSTV and Azam ni wengine. Kwakuwa TANESCO wameamua ni vya kwao so it should be part of their direct component costs and added appropriately overtime as part of depreciation in electricity unit cost.DSTV na Azam wakikuuzia decoders na dishes, hivyo vitu vinakuwa vya kwako mteja, sio vyao.
Good observation. Swali, hata vikiwa vyako unaweza kufanyia matumizi gani mbadala bila kuungwa na huduma zao?!DSTV na Azam wakikuuzia decoders na dishes, hivyo vitu vinakuwa vya kwako mteja, sio vyao.
Naweza ku-extract precious elements therein. Naweza kumuuzia mtu mwingine, naweza kukigawa bure, I can even destroy it at my pleasure. Haya yote huwezi fanya kwa facilities unazouziwa na Tanesco.Good observation. Swali, hata vikiwa vyako unaweza kufanyia matumizi gani mbadala bila kuungwa na huduma zao?!
True hussein mwinyi ni mkali hataki ujinga ujinga kwenye maslahi ya nchiKibongo bongo watu kama Maharage ni waelevu; ila huyu mtu, Nehemia na Makamba uwabane in terms of hesabu za ‘job costing’ to justify their rationale ya hesabu zao kwanini bei za mijini lazima zipande awawezi kukujibu miaka 800.
Ni hivi until we get rid ya wanasiasa ambao awataki kuona kuna viongozi ambao pamoja na mapungufu yao wapo tayari kubadilisha culture ya kufanya mambo serikalini na ndani ya CCM: wao wanatetea utaratibu walio uzoea kwa sababu ndio walioukuta ndani ya serikali na CCM we are doomed.
Even societies evolve wasiotaka evolution ni tatizo letu ndani ya jamii.
Maharage akutane na serious accountant amweke chini ambane kuelezea mipango yake in line with management accounts awezi jibu why bei ya mjini kuunganisha umeme ni x13 ya kijijini based on ‘job costing. Binafsi nikimskiliza tu naona anapwaya na hana uwezo and I am a lazy accountant to a serious one anamwacha uchi.
For starters if you know anything about ‘job costing’ hiyo hoja yake aitoshi kati ya bei ya mjini na kijijini even with REA subsidiaries let alone umtwange na mambo mengine serious ya management accounts ajibu why he is talking bunkum.
Ni hivi Bashiru wasn’t perfect but it was someone you could school so was Magufuli; pamoja na mapungufu yao their strength was commitment to change the existing working culture ndani ya serikali na CCM (and that was important) despite their shortfalls.
Lakini hawa wanaotaka mambo yabaki kama walivyozoea kazi bure kuongea nao; muhimu ni kujifunza kuishi nao tu. That means kula kwa urefu wa kamba yako, unapopata fursa.
Kwa wahusika January Makamba mumfute as a potential national leader hii wizara imemfumua hana uwezo kabisa (wacha ajitarijishe kama alivyochagua) but get rid of this guy; he doesn’t have it.
Mtu pekee kwa sasa mwenye sifa ya kuingoza Tanzania kwa alipoishia Magufuli (kwa yale yaliyo mazuri) ni Hussein Mwinyi.
Sawa, ila kumbuka Decoders zinasajiliwa kwa taarifa za mnunuzi na zinaishi ki-electronic ni account number. Ukimuuzia mtu hawezi kutumia kwa uhuru bila kukuhusisha. Labda umuuzie Dish au LNB. Kwahiyo mfanano na vifaa vya Tanesco bado upo.Naweza ku-extract precious elements therein. Naweza kumuuzia mtu mwingine, naweza kukigawa bure, I can even destroy it at my pleasure. Haya yote huwezi fanya kwa facilities unazouziwa na Tanesco.
Hakuna hatari yoyote hapo....ni kwamba hampendi kuambiwa ukweli.Ni hatari sana kwa mkurugenzi wa Tanesco kuambia umma kuwa unawezaje kununua tv ya sh 1,000,000/= halafu uhitaji umeme wa tsh 27000/= akumbuke kuwa hii nchi ni ya kwetu sote hata hivyo kutokana na nyakati tulizopo tulihitaji umeme wa gharama ya chini na siyo kukatisha tamaa umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27,000/=.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yasiwe tu ya mbeya....!
Tusipotoshe Umma hata hayo makampuni ya simu kuna maeneo hayapeleki huduma sababu ya ku run loss.... Serikali kupitia mfuko wa Mawasiliano kwa wote hujenga Miundombinu ya minara then kuwaomba makampuni ya simu kuja kuwekeza... Ndio maana serikali umeacha kwa maeneo ya vijijini bei kuwa 27,000 sababu kuongeza kwa kasi wateja wapya na Hali ya uchumi pia lakini kwa mjini umeme kuwa elfu 27,000 sio sawaNimesikiliza huyu mkurugenzi nikabaki nimeduwaa. Hivi concept ya serikali kusambaza umeme ikoje? Nilidhani kwamba gharama za kuunganisha zingekuwa as minimum as possible ili waunganishe wateja wengi halafu fedha zirudi kwa kuuza units za umeme. Ndiyo maana makampuni ya simu yanatafuta yenyewe fedha kwa ajili ya infrastructure installation (kuweka minara na vituo kadhaa then returns zao wanazipata kutoka kwa wateja kupitia airtime, msg na miamala.
Unaona umeandika hoja kumbe umeandika ujinga...Shida yenu Vijana wa CHADEMA kila Jambo ni kubisha hata kama lina ukweli ndani yake.....KWA mjini kuunganisha umeme wa 27,000/ ni ujambazi unaofanywa Mchana kweupe... Mimi naungana na Mkurugenzi wa TANESCO kupanga bei Mpya za kuunganishiwa umeme kwa mjini.Ndo tatizo la wahuni kushika ofisi za umma. Tanesco hawajawahi kujiendesha wenyewe bila kupata hasara na kama ilitokea basi wakati wa baba wa Taifa, mbona hata wakati kabla ya 27000 kuwepo tayari shirika lilishawashinda na wakati huo nguzo moja ilikuwa laki saba, kwanini hata wakati huo walikuwa wanafanyia hasara? Hivi inawezekanaje wao wapeane unit zaidi ya 300 kwa mwezi na shirika lisipate hasara? Na bado wana mishahara na marupuru, huu kama si wizi ni nini?
Hasara ipo Tanganyika ila zenji soon utasikia umeme bure kwa wote wameanza na kuunganishiwa bure.Ila kiuhalisia hiyo bei ni hasara kwa shirika
Shida yenu kila mtu anajifanya mjuaji haya mambo ya umeme sio hadithi za bunuasi ni mambo ya kitaalamu.. Mkurugenzi Mkuu TANESCO ameongea kitaalamu Sasa wewe ukajifanya unajua sana wakati hata kutofautiana +ve na -ve hujui bora ukae kimyaViongozi wetu kichwani wanamakamasi nakuhakikishia eti huyo ni mkurugunzi wa shirika kubwa la umeme anatefemea 27000 badlala ya kutegemea mauzo ya unit za umeme ambazo ndo kwenye faida
Sent using Jamii Forums mobile app