Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
N
Na mitandao ya simu waanze kudai gharama za minaraAcheni ujuwa nyie hakn kitu Kam hcho elf 27000 kuunganisha umeme siyo sawa hata kijij kule Ni nafuu tu ndio wamepewa
Yaani ungwanishwe umme mtu kwa 27000
Hpn nimefanya Kaz tanesco
Elf 27000 Ni kwa vijij tu Tena zile ambazo haijawai kupat umme toka taifa hili kuzaliwa
Elf 27 ulipe fundi
Uweke gar mafuta
Uwekewe mita
Uwekewe waya
Duh shrika litakufa kifo kibaya kuwahi kutokea
Kama bwawa la nyerere litamalizika. Bas anaglau tanesco wapunguze bei za uniti na siyo garma za kuunganishwa