Serikali TANESCO ni wezi tu,mtu unatoa 500k uunganishiwe umeme halafu
Luku wanakwambia ni mali yao,Nguzo mali Yao tena kama ukitaka umeme na Nguzo
Bei inaongezeka zaidi na zaidi kutegemea na uhitaji wa nguzo watakazoweka,Hiyo hela mteja
anayolipa huwa ni ya nini au inaenda wapi? Maana kila kitu pale ni mali ya TANESCO haya mahela wanayoyataka n yanini kama sio wizi wa wazi wazi?
Umeme ulitakiwa ubaki kwenye 27,000 kama kweli kila kitu ni mali ya TANESCO, lakini kurudsha bei ya zamani na wakati vifaa vyote ni mali yao huo ni uwizi.
ifike Mahali watanzania wawe service Free,tujue tu gharama za kupata huduma ila sio kuletewa huduma,Naamini akipatikana RAIS anaejua hesabu vyema vyema Hta ahiyo 27,000 anaweza akaiondoa akasema watu watoe 10,000Tsh,
YES inawezekana,n namna tu ya kupangilia na kujua NAMNA ya kufanya... Tanesco isiwashe gari kwenda kuwekea luku mteja mmoja mmoja,otherwise mteja aamue kulipia gharama extra.
ila waweke tu utaratbu Wateja wakifika 50 ndio gari inawashwa wanaenda fungia watu LUKU,shida ninayoiona hapa ni Hajapatikana mtaalamu wakupga hesabu akaziwasilisha mezani watu wakazielewa.
kinachofanyika sasa hivi ni wizi wa wazi wazi,N sawa na mtu ananunua Gari online analipia kila kitu usajili kila kitu kinasoma jina lake lakini Siku unapewa unaambiwa hili n gari lako ila huruhusiwi kufanya chochote wala kumpa mtu aendeshe, yani masharti kibaoooooo, BASI mngenipa bure hilo gari basi nijue 1 kama yafanyavyo makampuni mengine yanayogawa magari kwa wafanyakazi zao.
kwa hili la tanesco nadhani linadhihirisha UWEZO wa upeo wa RAIS tulie nae FULL STOP.