yanafaa kwa ubwabwa haya au ndizi?View attachment 1077152
Maharage meusi ni chakula maarufu huko Latin America. Niliyaona dukani na kuyanunua. Baada ya kuyachemsha nilikuta mafuta yametanda juu.
Yana virutubisho vingi ikiwa ni calories, iron, magnesium, potassium.
Huchukua muda mrefu kuiva. Ni rahisi kuyapika kwa pressure cooker. Ladha pia ni nzuri.
Inawezekana yapo, hongera sana ukifanikiwa sambaza mbeguSi ajabu yapo, jukwaa kubwa hili. Lakini nimeazimia kupanda nusu eka wakati wa vuli.
Za kiume ama [emoji3][emoji3]Dah....nimekuja mbio sana...nikajua dawa mpya....siyo siri nimevunjika moyo...Dah [emoji41]
Thanks dear niko huku kwenye barafu hata ardhi sina hahaaTuwasiliane nikuletee japo nusu kilo ya mbegu.
Dah...nilijua labda "inasaidiasaidia" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmh dawa mpya ya nini mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Za kiume ama [emoji3][emoji3]
Ukitaka kuwapata sema zinaongeza nguvu tu yaani page 40 within few minutes [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa alidhani dawa za nguvu za kiumeππππMmh dawa mpya ya nini mkuu?