Maharage meusi na faida zake

Ni matamu sana jibu lake hapo si fahamu lakini kama huyajui unaweza kuyaacha ni meusi kama mkaa.
Raha yake ni kuiva na mkaaa hata ikiwa siku nzima basi yanakuwa na ladha kushinda pressure cooker, ni matam sana hasa kipindi wengine tukiwa kwenye swaumu na uji tukishushia
 
Raha yake ni kuiva na mkaaa hata ikiwa siku nzima basi yanakuwa na ladha kushinda pressure cooker, ni matam sana hasa kipindi wengine tukiwa kwenye swaumu na uji tukishushia
Kama unapika kwa mkaa weka debe kwa kilo moja 😂
 
Kwa sisi wenye PTSD kutoka shule za boarding tukiona maharage meusi hasira zinapanda na kichefuchefu kinakuja ghafra
 
Kama unapika kwa mkaa weka debe kwa kilo moja 😂
Yanavimba lakini kilo moja ni nyingi sana, mie ninapenda sana kwa mkaa hasaa wenyewe wanaweka usiku saa 5 mpk asubuh wanayacheki tena kuyamwaga maji halaf mpk saa 7 mambo tyr hahhaha
 
Kwa sisi wenye PTSD kutoka shule za boarding tukiona maharage meusi hasira zinapanda na kichefuchefu kinakuja ghafra
PTSD nini mkuu wengine tuliishia darasa la Saba A
 
Yanavimba lakini kilo moja ni nyingi sana, mie ninapenda sana kwa mkaa hasaa wenyewe wanaweka usiku saa 5 mpk asubuh wanayacheki tena kuyamwaga maji halaf mpk saa 7 mambo tyr hahhaha
Ni kweli, Mimi nikiwa home Saturday nina yainjika saa 12:00 asubuhi. Mpaka saa nne yameiva. Ninachemsha mengi mengine Nina ya freeze.
 
Kumbe siyo kama maharage ya mbeya, maji mara moja!!!
 
Ni kweli, Mimi nikiwa home Saturday nina yainjika saa 12:00 asubuhi. Mpaka saa nne yameiva. Ninachemsha mengi mengine Nina ya freeze.
Kuna madhara kupika maharage kwa kuyaweka kwa chupa...?

Au kuyaloweka siku nzima ukija kuyakurupua ni nusu saa yameiva?
 
Kuna madhara kupika maharage kwa kuyaweka kwa chupa...?

Au kuyaloweka siku nzima ukija kuyakurupua ni nusu saa yameiva?
Kuloweka yanakuwa na ka harufu flani hivi cha maji. Lakini ukipika bean curry na yale na spice hukasikii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…