Maharage na mahindi ya bisi

Maharage na mahindi ya bisi

allina

Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
76
Reaction score
13
habarini wakuu..
Natarajia kufanya kilimo cha mahindi ya bisi, vipi soko lake liko wazi kupatikana? Na Pia, ni imaharage yapi yanauzika sana sokoni?
Naombeni kusaidiwa..
 
Maindi ya bisi soko lake si kubwa sana kama unavyolifikiria maana hivi vitu vimekaa kimsimu msimu. kuhusu maharage, uzuri wa maharage unategemea na eneo ulilopo, kwa huku niliko yanapendelewa maharage ya goroli (hulimwa arusha) wengine ya soya
 
Kwenye kichwa cha habari rekebisha, ...maindi = mahindi

Pia rekebisha, ...natalajia=natarajia, ...ivi=hivi.
 
mimi naomba kujua mbegu ya mahindi ya bisi zinapatikana wapi na ni maeneo gani ambayo mahindi haya yanastawi au ni kama tu haya mabindi ya kawaida.mtu mwenye uwelewa mpana khusu zao hili tunaomba msaada wake
 
mimi naomba kujua mbegu ya mahindi ya bisi zinapatikana wapi na ni maeneo gani ambayo mahindi haya yanastawi au ni kama tu haya mabindi ya kawaida.mtu mwenye uwelewa mpana khusu zao hili tunaomba msaada wake
Kama uko dar nenda soko la kariakoo ,, hapo utanunua kwa tani yako
 
Maindi ya bisi soko lake si kubwa sana kama unavyolifikiria maana hivi vitu vimekaa kimsimu msimu. kuhusu maharage, uzuri wa maharage unategemea na eneo ulilopo, kwa huku niliko yanapendelewa maharage ya goroli (hulimwa arusha) wengine ya soya
Soko lake ni kubwa sana kuliko unavyofikilia kinachotakiwa yawe kwenye quality nzuri.Bei ya mahindi ya bisi kubwa mara kumi ya mahindi ya kawaida
 
Soko lake ni kubwa sana kuliko unavyofikilia kinachotakiwa yawe kwenye quality nzuri.Bei ya mahindi ya bisi kubwa mara kumi ya mahindi ya kawaida
Mkuu naomba kujua haya mahindi hulimwa kama mahindi ya kawaida
 
Back
Top Bottom