Huwezi jua pengine jamaa aliwaonyesha kua ana helaeeeee ubaya ubaya tuuu, unasaidiwA majukumu kistaarabu kabsa unaleta nyodo? mil5 usawa huu??
kama aliwaonyesha ameyakanyagaHuwezi jua pengine jamaa aliwaonyesha kua ana hela
Ndo tatizo linapoanzia hapo😃😃kama aliwaonyesha ameyakanyaga
Acha kuzikimbiza fursa.Saizi nimekondakonda kidogo nataka mil8 ila kama nitanenepa hadi mwakani itakua ml10....ila mwambie muoaji asiogope nitamsaidia[emoji1][emoji1]
Lazima wazazi nao niwaachie chochote kitu...si unajua walilipa ada lakini 😄😄Acha kuzikimbiza fursa.
Binti matawi mno,sifa zitamponzaInaonesha uyo binti ni wa aina gani!
Mwambie apige chini uyo binti.
Wamezinguana......Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Mambo ya ada ni majukumu yao lakiniLazima wazazi nao niwaachie chochote kitu...si unajua walilipa ada lakini [emoji1][emoji1]
Piga chini huyo Binti, mtashindwana.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Kumbe Jimbo liko wazi?Saizi nimekondakonda kidogo nataka mil8 ila kama nitanenepa hadi mwakani itakua ml10....ila mwambie muoaji asiogope nitamsaidia😄😄
Sababisha mkuu.aisee, kitu piru inabana utamu mpaka kisogoni😋