Mahari kubwa yamkosesha mke

Acha bwana aliacha laki tano yake siku hiyo kuna watu wanna imani dunia hii yani kweli mim niache hela yangu nyuma..
 
Wamezinguana......
 
Kwetu mahari ni kubwa lakini huwa kuna kujitetea na kumalizia badae,mfano 5 au 6 M unaweza kumaliza mbele ya safari tena kama mkeo ni mwajiriwa msaidizane kulipa hiyo mahari
Hao kwakweli hawatumii akili,vijana wenyewe walivyochoka na maisha nani amlipia hiyo 5M kwa mkupuo?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Zamani vitu vilikuwa natural, bikra low body counts wazee wetu walioa kwa gharama ya kawaida. Ila siku hizi bikra hadimu, high body counts anazijua rungu za aina zote, anazijua style zote ila mahali bei ya kiwanja Kibaha.

Kwanza huyo mzee anabahati kupata mkwe ambaye yupo tayari kutoa, mahali kabla ya kumpa mimba. Huku mitaa tuliyo toka, watu wanatia mimba,mahali hawatoi na wanakaa mtaa mmoja na wakwe kila siku wanamuona kidume kilichompa mimba binti yao. Wanakomaa weee,baadae wanaongea na binti, amletee mzazi mwenzie japo ajitambulishe, ili amuoe binti yao kwa mahali ya kitonga au sometimes free kabisa,ili awaondolee aibu.
 
Piga chini huyo Binti, mtashindwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…