Hata binti naye hafai, binti ana nafasi kubwa kushauri wazaziWaone nini bhana hao wazazi? Ni wahuni tu, mtoto amesoma mpaka ana kazi yake amepata mchumba amempeleka kwao, unafikri yeye hajaviona vyote kwa huyo kijana? Hawa ndo aina ya wazazi wanaoharibu maisha ya watoto wao kwa kujifanya wajuaji.
Leejay49 mshamba_hachekwi mbona mnashangaa?Sababisha mkuu.
Hiyo mbona hatari sanaHiiiiiiiiii! Hiith, Hiith, Hiith nimekuita mara tatu, huo mchezo kuna jamaa yangu alijidai kuufanya ili awakomoe wazee, baada ya mpachiko akaruka weeeee, jongoo liligoma kupanda mtungi mpaka kesho kutwa! Ogopa watoto wa watu huwezi kujua kanajiamini nini hako kazee!
Mdogo wangu huyu jamaniππLeejay49 mshamba_hachekwi mbona mnashangaa?
Mi niliona kuwa Leejay49 jimbo liko wazi nikasema sababisha, she's single.
Kwamba mdogo wako hawezi kukudate na kutoa mahari? Mfano akija na mil.9 kutoa mahari utakataa?Mdogo wangu huyu jamaniππ
haiwezekaniKwamba mdogo wako hawezi kukudate na kutoa mahari? Mfano akija na mil.9 kutoa mahari utakataa?
Kwanini haiwezekani.haiwezekani
Andaa mademu zako watatu, then anza kufanya utaratibu , mmoja akizingua hakikisha hupotezi time, nenda kwa mwingine chap.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Wewe siyo bidhaa inatakiwa ukatengeneze familia yako.Ndyo lakini siwezi kuwaacha hivihivi [emoji2]
Kama kipi kwa mfanoKuna vitu vingine ni vya kijinga sana....
SawasawaWewe siyo bidhaa inatakiwa ukatengeneze familia yako.
Sahihi kabisa.Hata binti naye hafai, binti ana nafasi kubwa kushauri wazazi
Kipimo cha mke bora huanza kujionyesha hapa, ukiona binti anajali zaidi mambo ya kwao kuliko ya kwako pamoja naye ujue hilo ni bomu.Sahihi kabisa.
Sema wazazi wengine hujifanya vichwa maji.Binti ndie anajua uwezo.wa mtu.wake na si uwezo tu bali pia wao wenyewe wanakuwa wana.mipango.yao kuwa pesa isiishie tu mahari
Binti ana mchango mkubwa kwenye hilo
Ogopa sana kuchezea watoto wa watu. Ikishindikana bora uondoke salama tu!Hiyo mbona hatari sana
Bahati sio mim. Hilo swala lingeisha toka kwenye kuombana hela ya kusikilizana kwan mwanamke ni yeye pekee ake πππππ.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .