Mahari kubwa yamkosesha mke

Mahari kubwa yamkosesha mke

Waone nini bhana hao wazazi? Ni wahuni tu, mtoto amesoma mpaka ana kazi yake amepata mchumba amempeleka kwao, unafikri yeye hajaviona vyote kwa huyo kijana? Hawa ndo aina ya wazazi wanaoharibu maisha ya watoto wao kwa kujifanya wajuaji.
Hata binti naye hafai, binti ana nafasi kubwa kushauri wazazi
 
Bro nadhani mwamba sio kilaza kwenye mahusiano lazma atakuwa na several alternatives
 
Hiiiiiiiiii! Hiith, Hiith, Hiith nimekuita mara tatu, huo mchezo kuna jamaa yangu alijidai kuufanya ili awakomoe wazee, baada ya mpachiko akaruka weeeee, jongoo liligoma kupanda mtungi mpaka kesho kutwa! Ogopa watoto wa watu huwezi kujua kanajiamini nini hako kazee!
Hiyo mbona hatari sana
 
Kuna shemeji yenu kaniambia niandae Juzuu TU na tasbihi, ndo mahari yake. [emoji3][emoji3]
 
Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.

Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.

Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.

Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.

Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.

Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.

Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.

Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.

Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.

Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.

Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.

Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.

Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Andaa mademu zako watatu, then anza kufanya utaratibu , mmoja akizingua hakikisha hupotezi time, nenda kwa mwingine chap.

NB: KUSUDI LA MUNGU KUUMBA WANAWAKE WENGI KULIKO WANAUME LAZIMA LIHESHIMIWE.
 
Hata binti naye hafai, binti ana nafasi kubwa kushauri wazazi
Sahihi kabisa.
Sema wazazi wengine hujifanya vichwa maji.Binti ndie anajua uwezo.wa mtu.wake na si uwezo tu bali pia wao wenyewe wanakuwa wana.mipango.yao kuwa pesa isiishie tu mahari

Binti ana mchango mkubwa kwenye hilo
 
Zitakua ndio zile pisi za kishua... Mwamba ameyakanyaga
 
Sahihi kabisa.
Sema wazazi wengine hujifanya vichwa maji.Binti ndie anajua uwezo.wa mtu.wake na si uwezo tu bali pia wao wenyewe wanakuwa wana.mipango.yao kuwa pesa isiishie tu mahari

Binti ana mchango mkubwa kwenye hilo
Kipimo cha mke bora huanza kujionyesha hapa, ukiona binti anajali zaidi mambo ya kwao kuliko ya kwako pamoja naye ujue hilo ni bomu.

Binti mwema na akupendaye daima atakuwa upande wako.
 
Hu upuuzi Wa mahari kama kukomoana.Dogo achapee mbususu afu ampige mimba then aowee kwingine
 
Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.

Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.

Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.

Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.

Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.

Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.

Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.

Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.

Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.

Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.

Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.

Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.

Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Bahati sio mim. Hilo swala lingeisha toka kwenye kuombana hela ya kusikilizana kwan mwanamke ni yeye pekee ake 😂😂😂😂😂.

Kwanza mahari ikizidi 500k huo ni utapeli
 
Back
Top Bottom