Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu itaje niisikie 😅Uncle mimi naona kama nitazeekea nyumbani kwa mahari hii ninayoifikiria😅😅🤦♀️
Leo nitaota ndoto nzuri kweli kweli umeziona zile fence?jamani😃😃😃
Saizi nimekondakonda kidogo nataka mil8 ila kama nitanenepa hadi mwakani itakua ml10....ila mwambie muoaji asiogope nitamsaidia😄😄Hebu itaje niisikie 😅
Zipi hizo😃😃😃Leo nitaota ndoto nzuri kweli kweli umeziona zile fence?
Kama imeshindikana wagawane hasara ya hiyo laki tanoHio Laki 5 irudi mapema, uchumi Umekua mgumu sana ye anatupa laki 5 kabisa, yaani Nusu milioni!
Muoaji ameniuliza swali gumu sana baada ya kusikia hiyo mahari yako. Nashindwa namna ya kukuuliza 😅Saizi nimekondakonda kidogo nataka mil8 ila kama nitanenepa hadi mwakani itakua ml10....ila mwambie muoaji asiogope nitamsaidia😄😄
Uliza tu😄😄,, kama bikra bado ninayo anataka nini tena😅Muoaji ameniuliza swali gumu sana baada ya kusikia hiyo mahari yako. Nashindwa namna ya kukuuliza 😅
Kataa ndoaNi kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Nimeziona hapo kwenye Continental Ground ukishapita kushoto tu km unaelekea kulia unakutana nazoZipi hizo😃😃😃
Basi sawa😄😄Nimeziona hapo kwenye Continental Ground ukishapita kushoto tu km unaelekea kulia unakutana nazo
Sawa karibu uji wa Pili PiliBasi sawa😄😄
Naam, maana Hapo Mwamba mpaka kufikia kwenda kusarenda ukweni atakua kapasuka sana kwa huyo dada.Kama imeshindikana wagawane hasara ya hiyo laki tano
Jamani jamani jamani 😋😋😋Sawa karibu uji wa Pili Pili
Mate yanakutoka JiraniJamani jamani jamani 😋😋😋
Yani wewe acha tu...napenda sana ujiMate yanakutoka Jirani
Uji wa Pili Pili. 😋Yani wewe acha tu...napenda sana uji