mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
hahaaMuoaji ameniuliza swali gumu sana baada ya kusikia hiyo mahari yako. Nashindwa namna ya kukuuliza 😅
chura ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaMuoaji ameniuliza swali gumu sana baada ya kusikia hiyo mahari yako. Nashindwa namna ya kukuuliza 😅
I like it, pilipili manga kwa mbaaali na blueband na maziwa ya almudhish😉😉Uji wa Pili Pili. 😋
Kila kitu atakikuta, tena vipya kabisa havijawahi kutumika😃😃😃hahaa
chura ipo?
aisee, kitu piru inabana utamu mpaka kisogoni😋Kila kitu atakikuta, tena vipya kabisa havijawahi kutumika😃😃😃
Yeah 😉😉aisee, kitu piru inabana utamu mpaka kisogoni😋
😅😅😅 kauli imeibua swali jingine. Ambalo ni zito zaidi. Baadae nitakuja PM kulidadavuaUliza tu😄😄,, kama bikra bado ninayo anataka nini tena😅
Sawasawa...uje nikupe na offer uncle, fanya chap kabla giza halijaingia😄😅😅😅 kauli imeibua swali jingine. Ambalo ni zito zaidi. Baadae nitakuja PM kulidadavua
Ukienda na afu20 Babu watakurudisha na hela yako yaan usijaribu siku hizi wanataka kuanzia na afu50 umekosa sana 45 yaan hicho ndio kima cha chini ndio unaenda kujieleza usikilizweHivi kikawaida mshenga akipeleka barua ukweni huwa inabidi kuwe na kiasi kikubwa hivo cha pesa au inategemea na tamaduni na jamii ya watu fulani, naona hapo pesa nyingi mno imepelekwa kabla hata ya mahali kutajwa. Au pia inategemea na dini. Maana upande wetu waislamu barua ni elfu 20 tu au ukipenda unaweza kuongeza kidogo.
Hapa binti ananambia nijitahidi niweke hata laki kwenye barua siku ya kuipeleka naona kabsa utakuwa mtego huu wa kutajiwa mahali kubwa.
Ila kweli usemacho 20 ndogo sana labda 50. Ila hapo jamaa inaonekana kwenda ukweni tu laki 5 wengine hiyo ndo kianzio cha mahali baada ya hapo maisha mengine yanaendeleaUkienda na afu20 Babu watakurudisha na hela yako yaan usijaribu siku hizi wanataka kuanzia na afu50 umekosa sana 45 yaan hicho ndio kima cha chini ndio unaenda kujieleza usikilizwe
PM yenyewe umefunga. Nichek nikufikishie huo ujumbe ☺️Sawasawa...uje nikupe na offer uncle, fanya chap kabla giza halijaingia😄
Mbona iko wazi uncle jamani😃😃🤔PM yenyewe umefunga. Nichek nikufikishie huo ujumbe ☺️
akiendeleea na utata piga mimba mama mkwe ili ale jeuri yakeHahaaa wazee wengine watata hata ukipiga mimba huondoki na mke
Jamani😂😂😂akiendeleea na utata piga mimba mama mkwe ili ale jeuri yake
eeeee ubaya ubaya tuuu, unasaidiwA majukumu kistaarabu kabsa unaleta nyodo? mil5 usawa huu??Jamani[emoji23][emoji23][emoji23]