Mahari kubwa yamkosesha mke

Mahari kubwa yamkosesha mke

Ng'ombe kwa 250k kila mmoja ndio Bei. Mana unaweza ukanunua cows wadogo Saba ukaweka kubwa mbili na mmoja aliyekwisha zaa. Hao wa laki nne Ni wakubwa mno nadhani. Hata ndama waliyeachishwa wanachukua ishu Ni ng'ombe. Ila hata ng'ombe btwn 6-8-10 ndio mahari iliyoko saivi.
Walioa miaka ya 1970s waliolea ng'ombe 40-60 baba angua alimuoa mama kwa ng'ombe 45 I think so. Mie nimeoa kwa ng'ombe 10 ,Kuna mdogo wangu akatoa 11 unapewa mke kabisa Ni wako utakufa utazikana naye. Mkikosana naye anaenda kuishi kwenu ,hata kwa ndugu yako Ila kwao kule harusi Mana tayari ameshafanyiwa send OFF so no point of return. Ameamua mifupa yake iwe ya Koo yako. Mana hata huku kwetu ama kwenu mnakosana.
 
Mimi nimeenda kwa wakwe juzi kulipa mahari nimepangiwa jumla milioni moja na laki moja vitu vyote ila binti kaniambia nilipe laki nane tu na nililipa siku iyo iyo na binti ni msomi na ni muajiriwa serikali na mimi nipo serikalini pia hivo binti yuko upande wangu hapindui kabisa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hongera sana asee
 
Mahari ni nini?

Kwenye dini, mahari ni zawadi anayopewa binti na mumewe mtarajiwa, zawadi hii inatajwa n mwanamke mwenyewe.

Ni kama vile ahsante yake kwa kukubalia kumuoa,
Ni Umemuomba umuoe, kakubali, sasa ndio unamuomba akutajie zawadi ya kumpa kwa kukubali ombi lako, nae anakutajia(hiyo ndio mahari)
anaekupenda hakukomoi
Dini Gani hiyo ambayo unadhani kila mtu anaiamini? Hizo Dini unazozifanyia reference ni Mila na tamaduni za waliokuletea hiyo Dini. Hutaki kutoa mahari oa hapo kwenye familia yenu kama zilivyo Mila za kiarabu ambazo wewe unadhani ndo Dini yenyewe.
 
Back
Top Bottom