Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Jamii za Wakristo za Afrika mahari ni jambo la msingi sana kwao katika mchakato wa kuoa. Mwanaume lazima alipe mahari kwa familia ya mwanamke anapotaka kuoa, mahari yenyewe huwa ni kubwa tu.
Huko magharibi, hasa Marekani, Canada na Ulaya katika jamii za Wakristo hakuna suala la kulipa mahari katika ndoa.
Huu utofauti unamaanisha mahari ni mila za makabila tu, utamaduni nje ya dini Kikristo au Wamagharibi tu waliamua kuupuza na kuupotezea huu utaratibu?
Vipi huko India, Wakristo wanaume wanalipiwa mahari na familia ya mwanamke kama ulivyo utamaduni kwa jamii kubwa ya Wahindi?
Huko magharibi, hasa Marekani, Canada na Ulaya katika jamii za Wakristo hakuna suala la kulipa mahari katika ndoa.
Huu utofauti unamaanisha mahari ni mila za makabila tu, utamaduni nje ya dini Kikristo au Wamagharibi tu waliamua kuupuza na kuupotezea huu utaratibu?
Vipi huko India, Wakristo wanaume wanalipiwa mahari na familia ya mwanamke kama ulivyo utamaduni kwa jamii kubwa ya Wahindi?