kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Zawadi ziende pande mbili, waliomlea mwanamke na waliomlea mwanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalipeleka kidini wapi wewe unajua utaoa Hadi wanawake war wote utoe mahali hivyo mahali unatoa kidogo kidogo! Bado kuhudumia wanawake war Bora aliyetoa mahali kubwa Kwa mke mmoja. Kimahesabu waislamu ndo huingia gharama kubwa kwenye uojiKwa wakristo wengi bado suala la mahari wanalipeleka kimila yaani huona kama chanzo cha mapato ndio maana hutaka dau kubwa ila waislamu wanalipeleka kidini.
[emoji23][emoji23][emoji23]Labda sababu kwa waislamu kuna option ya kuachana ( Talaka ) lakini kwa christians option hiyo hamna kwa ni kama unauza bidhaa jumla jumla
Huu ndiyo ukweli.Hakuna Ndoa ya Kikristo,
Kwa sababu Ukristo hauna sheria za ndoa.
Dini zenye sheria za ndoa ni uislam, Uyahudi na Dini za kiafrika.
Wakristo hawanaga Ndoa.