simon martine
Member
- Sep 13, 2014
- 16
- 6
Ana mbuye ya Tanzanite kwamba inapatikana kwake tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mswala una samani zaidi ya hio million 20.Nimeolewa kwa mswala
K hainaga kipolo wewe.nani kakwambia INA makombo ile kitu.in Roma's voice KSawa sanchi tumekuelewa .
Wamawake wanaotakaga maali kubwa ,,huwa wadumu ktk ndoa sababu wazo lake nikuolewa Mara kwamara ili atolewe mahali pia Mara kwa Mara !!.
Nachofurahia nikwamba ,, mwisho wasiku hawaolewagi ,,anakuja kuitaji mwanamme kwa maali ya japo laki tano,,, lkn bado anakosa ,sababu kuu mbili :-
1--- hakuna mwanamme anayependa makomboo yalochacha (kuna makombo yako vizur).
2-- Ngozi inakua ishavuta ( siwez oa Mzee ).
Nakwahuo mwili wake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , niwaombee wana JF uzima na afya ,,tukutane wote pamoja baada ya miaka 7 ijayo ..** Sanchoka atakua kweli ni "Saa nishachoka , mwanamme anayetaka mtoto aje nmzalie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..nabado hatutaenda ng'ooooo ..ye ngoja saiz atutese.
......khaaah !Matuta na ma-stretchmarks kibao, maji maji na inaelekea lina sweat Sana, shida Kama hizo nikutana nazo nalipaga buku tano Kama hutaki weka pesa yangu juu ya meza, sitengenezi pesa Mimi
Kwani Muhongo alinunua kwa bei hiyo !?Hiyo milioni 20 nikija kulipa napewa na Uwaziri kabisa?