Mahari ya Sanchi yapanda kutoka million 10 mpaka million 20

Mahari ya Sanchi yapanda kutoka million 10 mpaka million 20

Haahaha! Yani huyu nae Kadiri umri unavyozidi kwenda nayeye ndo kwaaanza anazidi kuongeza dau la mahari, hivi hajui kwamba anadepreciate(shuka thamani/ishiwa mvuto n.k.)
 
Sawa sanchi tumekuelewa .


Wamawake wanaotakaga maali kubwa ,,huwa wadumu ktk ndoa sababu wazo lake nikuolewa Mara kwamara ili atolewe mahali pia Mara kwa Mara !!.

Nachofurahia nikwamba ,, mwisho wasiku hawaolewagi ,,anakuja kuitaji mwanamme kwa maali ya japo laki tano,,, lkn bado anakosa ,sababu kuu mbili :-
1--- hakuna mwanamme anayependa makomboo yalochacha (kuna makombo yako vizur).
2-- Ngozi inakua ishavuta ( siwez oa Mzee ).

Nakwahuo mwili wake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , niwaombee wana JF uzima na afya ,,tukutane wote pamoja baada ya miaka 7 ijayo ..** Sanchoka atakua kweli ni "Saa nishachoka , mwanamme anayetaka mtoto aje nmzalie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..nabado hatutaenda ng'ooooo ..ye ngoja saiz atutese.
K hainaga kipolo wewe.nani kakwambia INA makombo ile kitu.in Roma's voice K
 
Matuta na ma-stretchmarks kibao, maji maji na inaelekea lina sweat Sana, shida Kama hizo nikutana nazo nalipaga buku tano Kama hutaki weka pesa yangu juu ya meza, sitengenezi pesa Mimi
......khaaah !
 
Back
Top Bottom