Mahari yalianzia wapi?, alipewa nani?, kwa idhini ya nani?

Umesema vyema bibie, bila kusahau ubavu alioutoa Adamu kumpata Hawa.
MASAHIHISHO KIDOGO:-
Rachel na Lea walikua wake za YAKOBO. na mke wa ISAKA alikua anaitwa Rebeka. Uwe na jumapili njema.
 
ni Yakobo Mamndenyi sio Isaka
 
Watu wa Qur'an njooni

Cc: faizafoxy
 
Biblia haijakukaa vema, bali story ya biblia imekukaa, Usingeandika Isaka ni Yakobo
 
Isaka hakutumikia miaka 7 Bali ni Yakobo mwana Wa Isaka
Leta hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…