Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vyema bibie, bila kusahau ubavu alioutoa Adamu kumpata Hawa.Isaka mwana wa Abram alimpenda Rachel, mahari yake aliambiwa atumike miaka saba ili apate mke. Akatumika. Akapewa Dada yake Kwa kuwa kibila hawezi olewa mkubwa akaachwa mdogo. Alipogundua siyo Rachel akagoma. Akaambiwa atumike tena miaka saba mingine ndo ampate mke. Jumla akaitumikia familiya miaka 14 ndo akapewa mke. Je hiyo siyo mahari. Hapo ni kabla ya Christ.
..... Leo nimeenda kanisani, Bible imenikaa.
ni Yakobo Mamndenyi sio IsakaIsaka mwana wa Abram alimpenda Rachel, mahari yake aliambiwa atumike miaka saba ili apate mke. Akatumika. Akapewa Dada yake Kwa kuwa kibila hawezi olewa mkubwa akaachwa mdogo. Alipogundua siyo Rachel akagoma. Akaambiwa atumike tena miaka saba mingine ndo ampate mke. Jumla akaitumikia familiya miaka 14 ndo akapewa mke. Je hiyo siyo mahari. Hapo ni kabla ya Christ.
..... Leo nimeenda kanisani, Bible imenikaa.
Biblia haijakukaa vema, bali story ya biblia imekukaa, Usingeandika Isaka ni YakoboIsaka mwana wa Abram alimpenda Rachel, mahari yake aliambiwa atumike miaka saba ili apate mke. Akatumika. Akapewa Dada yake Kwa kuwa kibila hawezi olewa mkubwa akaachwa mdogo. Alipogundua siyo Rachel akagoma. Akaambiwa atumike tena miaka saba mingine ndo ampate mke. Jumla akaitumikia familiya miaka 14 ndo akapewa mke. Je hiyo siyo mahari. Hapo ni kabla ya Christ.
..... Leo nimeenda kanisani, Bible imenikaa.
Isaka hakutumikia miaka 7 Bali ni Yakobo mwana Wa IsakaIsaka mwana wa Abram alimpenda Rachel, mahari yake aliambiwa atumike miaka saba ili apate mke. Akatumika. Akapewa Dada yake Kwa kuwa kibila hawezi olewa mkubwa akaachwa mdogo. Alipogundua siyo Rachel akagoma. Akaambiwa atumike tena miaka saba mingine ndo ampate mke. Jumla akaitumikia familiya miaka 14 ndo akapewa mke. Je hiyo siyo mahari. Hapo ni kabla ya Christ.
..... Leo nimeenda kanisani, Bible imenikaa.
Leta hoja