Tangu mbowe atuhumiwe kuuwa familia ya dadake yote watoto na mme nilimdharau Sana
USSR
Kumbe ni tuhuma tu?? Ambazo hata yule mgonjwa wenu pale Bungeni Anaweza kuzitoa tu.Tangu mbowe atuhumiwe kuuwa familia ya dadake yote watoto na mme nilimdharau Sana
USSR
Mbona mnamharibia Balozi Sefue
Huyu mpiga debe wa wachina wa bandari ya bagamoyo akae atulie kabisa huyu andunje.
Wapiga kura wa Ndugai wamechanjwa wote? Kwa hiyo hatatembelea jimboni?
Ufichage huo ujinga wako,sii lazima kila mtu akaujua.Tangu mbowe atuhumiwe kuuwa familia ya dadake yote watoto na mme nilimdharau Sana
USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kuchukua muda kufuatilia maoni na mitizamo ya wajumbe mbalimbali kiroho safi, nimejiridhisha pasi na shaka yoyote kuwa:
"Pana wajumbe wenye kujawa na hasira kali isiyokuwa na maelekezo kuhusiana na Mh. Mbowe, Chadema, Chanjo za Corona na tahadhari zake."
Wajumbe hao wakisikia moja katika matatu hayo yakitajwa, utu huwatoka wakauvaa uhayawani. Hupumua moto na labda kutoa moshi mithili ya gari la moshi.
Picha hii (si halisi) labda inaweza kuakisi mionekano ya nyuso zao pindi matatu hayo yakitajwa:
View attachment 1889973
Jamani eeh, isiwe taabu tukutane hapa. Kama vipi tuteme nyongo na kufahamiana pia!
Au nasema uongo ndugu zangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ndio ukweliUfichage huo ujinga wako,sii lazima kila mtu akaujua.
Ufichage huo ujinga wako,sii lazima kila mtu akaujua.
Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema aliesema Chanjo iwe lazima, kama walikuwa wanamuona Mbowe mjinga kwa huo uamuzi wake, sasa chama chao kimewaambia hawataingia bungeni mpaka wachanjwe, sijui now hasira zao watazigeuzia kwa Samia, au wataendelea kumchukia Mbowe kinafiki.
Tutaelewana tu.5 + 6 = 11 haijali wajinga wangapi wanasema ni 2.
Hawa jamaa ni janga:
Madhara ya Awamu ya Tano yanayofumbiwa Macho
Mabibi na mabwana awamu ya tano imepita na sasa kazi inaendelea katika awamu ya sita chini ya Rais Samia. Kwamba tupo awamu ya sita itakuwa kutojitendea haki mno kutoyaangazia kabisa madhara ya awamu ya tano kwa awamu ya sita yote chanya na hasi. Kwa uzi huu itoshe kuyaangazia madhara hasi ya...www.jamiiforums.com
Tutaelewana tu.
Tangu mbowe atuhumiwe kuuwa familia ya dadake yote watoto na mme nilimdharau Sana
USSR
Hiyo itaenda mbali zaidi nchini kwetu, hata wanaohudumia watu wengi kwa wakati mmoja lazima wachanjwe wakiwemo makonda/madereva, walimu wa ngazi zote, kubwa zaidi na la muhimu ni wachungaji/maaskofu/manabii/mitume/mashehe...hutoruhusiwa kutoa huduma bila ya kuwa umechanjwaKenya tayari wafanyakazi wa umma ni lazima:
#COVID19 - Kenya: Chanjo ya Covid lazima kwa watumishi wa Umma
Kuwa na dhamana ya maisha ya watu ni pamoja na kuwajibika zaidi hata dhidi ya ujinga wao. Babu wa Loliondo angekuwa hai Kenya lakini si Tanzania. Heko rais Kenyatta kwa maana heri lawama kuliko fedheha. Kenya kwa mtumishi wa umma, chanjo ni lazima. Pole pole tutafika tu. Kwanza Janssen...www.jamiiforums.com
Mdogo mdogo, tutafika tu.
Hiyo itaenda mbali zaidi nchini kwetu, hata wanaohudumia watu wengi kwa wakati mmoja lazima wachanjwe wakiwemo makonda/madereva, walimu wa ngazi zote, kubwa zaidi na la muhimu ni wachungaji/maaskofu/manabii/mitume/mashehe...hutoruhusiwa kutoa huduma bila ya kuwa umechanjwa