Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa

Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa

Baada ya kuchukua muda kufuatilia maoni na mitizamo ya wajumbe mbalimbali kiroho safi, nimejiridhisha pasi na shaka yoyote kuwa:

"Pana wajumbe wenye kujawa na hasira kali isiyokuwa na maelekezo kuhusiana na Mh. Mbowe, Chadema, Chanjo za Corona na tahadhari zake."

Wajumbe hao wakisikia moja katika matatu hayo yakitajwa, utu huwatoka wakauvaa uhayawani. Hupumua moto na labda kutoa moshi mithili ya gari la moshi.

Picha hii (si halisi) labda inaweza kuakisi mionekano ya nyuso zao pindi matatu hayo yakitajwa:

Jamani eeh, isiwe taabu tukutane hapa. Kama vipi tuteme nyongo na kufahamiana pia!

Au nasema uongo ndugu zangu?
CHADEMA kimepoteza Dira, Mbowe ana Kesi ya Kujibu na asiyetaka Kuchanja UVIKO-19 akifa asimlaumu Mtu.
 
Naipendatz jitihada zako kwenye Corona zimeonekana. Bila shaka yale mawili ya mwanzo ungali ukitokota kwanza.

zandrano na MSAGA SUMU seat ya mbele pale, mwaonekana kuwa ni kigugumizi tu ila nanyi wamo!

Kilinge chetu hiki.

#4 na #5 itapendeza zaidi.
Yale mawili nimekerekwa na Mama yangu kuitwa Yebezeli, Jumong, wengine wakataja na viungo vyake siwezi kuvitaja, wengine wakaenda mbali na kumuombea kifo kabla ya mwaka huu haujaisha, ilinishangaza kidogo watu wanasahau vipi tulipotoka just ndani ya miezi minne tu?
 
Yale mawili nimekerekwa na Mama yangu kuitwa Yebezeli, Jumong, wengine wakataja na viungo vyake siwezi kuvitaja, wengine wakaenda mbali na kumuombea kifo kabla ya mwaka huu haujaisha, ilinishangaza kidogo watu wanasahau vipi tulipotoka just ndani ya miezi minne tu?

Kwani umemsikia Mbowe au Chadema wakimwita hivyo kuhalalisha wewe kupumua moto na kutoa moshi?
 
Back
Top Bottom