Mahesabu ya zuzu na mkewe

Mahesabu ya zuzu na mkewe

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Zuzu alioa mke mwerevu sana. Mara baada ya miezi minne na nusu mke aka zaa. Zuzu akazusha kweli:
Mume: Nitakupa talaka uende kwenu. Utazaaje mtoto baada ya miezi minne na nusu. Kwani ni kuku wa kizungu!
Mke: Mswalie mtume mume wangu, hebu kaa chini tufanye hisabu.
Wewe tangu unioe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu tu!
Mke: Na mimi tangu niolewe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu!
Mke: Sasa "nne na nusu na nne na nusu"total ni miezi mingapi?
Mume: Loooooo sorry darling, wallahi nilikua nisha kudhania vibaya.
 
Zuzu alioa mke mwerevu sana. Mara baada ya miezi minne na nusu mke aka zaa. Zuzu akazusha kweli:
Mume: Nitakupa talaka uende kwenu. Utazaaje mtoto baada ya miezi minne na nusu. Kwani ni kuku wa kizungu!
Mke: Mswalie mtume mume wangu, hebu kaa chini tufanye hisabu.
Wewe tangu unioe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu tu!
Mke: Na mimi tangu niolewe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu!
Mke: Sasa "nne na nusu na nne na nusu"total ni miezi mingapi?
Mume: Loooooo sorry darling, wallahi nilikua nisha kudhania vibaya.
Zuzuuuu tisha sana
 
kwe kwe kwe..
hesabu inawenyewe
 
Haponkwenye "mswalie mtume"ndo ulipo haribu wanakuja.!!
 
Back
Top Bottom