Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Nimeshindwa kuchop hizi comments zako juu ya vile unazichora. Niaje unamix CAPITAL letters na small letterz hiyo njaro? Inaboo.Okay Kaka. But Vipi Kuhusu Hayo MaCopper Za MaHessy. Mi Naona Ni Hatari.
hasira za kike hizo.aibu kwa mtoto wa kiume kupatwa na jazba kwa jambo ndogo namna hii.nami nimeuliza swali hamjanijibu....mbona mna interest sana na Kenya? and watch ur mouth my frend...usiingilie mambo yasiyokuhusu....bwege idiot fool matako ww
Nimeshindwa kuchop hizi comments zako juu ya vile unazichora. Niaje unamix CAPITAL letters na small letterz hiyo njaro? Inaboo.
jibu la swali lako hili hapa [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]nami nimeuliza swali hamjanijibu....mbona mna interest sana na Kenya?
it's because the powerful nation takes control of a weaker nation for her economic benefits.no wonder we know a lot bout you.you are under our surveillance 24/7.we monitor and analysis everything you do.
another question?.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eish! Hiyo sasa ni simu aina gani? Nimepitia tu juu juu hiyo comment yake ya first, nikaachana nayo.Labda anatype kwa simu. Kila simu na mti do wake
invest in a good collection of movies and series that relate with crime and investigation.Habari Wakenya. Mimi Ni M-Tz Na Sijawah Fika Kenya. Ila Kutokana Na Kupenda Kusoma Crime Stories And Maybe Because Am A Lawyer To Be.. Imenipelekea Kusoma Na Kufuatilia Sana Mambo Za Mafias And Criminals (Not Terrorists)But Wale Wasee Wanaoperate Within A Country Either Individually Or Wale Wako Kwa Gangs Or Organized Crimes Like Mafia ie Ndrangheta.
Sasa Nkawa So Insinuated Na Kenyan Crime News Nikisikia Tu Huwa Napenda Kufuatilia Na Kusoma. So From Mohamed Ali's Documentaries "Jambazi Sugu Wanugu" Kina Wacucu Na Yule Rasta Nimeangalia Pia Yule Officer Alienusurika Kufa Wakati Alikua Hot On Trails Za Robbers Nimesahau Jina Lake Na Pia Yule Officer Aliuliwa Allegedly To Be A Robber. Btw Napenda Sana Ile Nyimbo "Dunia Ina Mambo" Moha Alitumia Katika Izo Documentaries.
Sasa Ni Kuhusu Hizi Issue Za Hawa MaHessy Mara Wa Kayole Au Dandora Then Nikaona Hao Girls Wanasemwa Majambazi Wameuawa Very Young Na Ile Profile Allegedly Of Mwane(A Husband Of One Of Killed Girls) Akipost Kua Hamuogopi Hessy. If There Is One Thing That Makes Me Afraid Of Coming To Nairobi,Is Crime And Violence. Wasee Wa Kenya Mnachukuliaje Hawa MaHessy Wanaofanya Things We Only See In Indian Movies!!Maana Kukula Coppers Nje Nje Apo Nairobi. Mpaka Naanza Ogopa Unaweza Ukaja Naii Ukapatana Na Msupuu Kumbe Ako Kwa List Ya Hessy Na Ashapewa Mko Mmekaa Hivi Hessy Akakuunga Na Ww Ni Robber Ukala Copper. Wasee Mnipe Views Zenu Kuhusu Hii. Nawakilisha!!
kuna programme fulani niliondokea kuipenda sana iliyoitwa MEDICAL DETECTIVES...yani wale jamaa hutumia ujuzi wa hali ya juu sana kufata ushahidi katika crime scenes...sijui kama bado inapeperushwa...ni katika etv..pia ungemshauri afatilie story za crime kwenye listverse.com....wanaandika vizuri sana piainvest in a good collection of movies and series that relate with crime and investigation.
Kumbe Fans Wa Listverse Tuko Wengi. Nashangaa Watu Hawako Na Idea Na Hiyo Kitu. Very Helpfull And Simple. Soon Mtaona 10 Kuhusu Tz Bcoz Izo 200 USD Nazitaka Sana. Am Working On That. Cant Spend A Day Bila Kuingia Listverse.kuna programme fulani niliondokea kuipenda sana iliyoitwa MEDICAL DETECTIVES...yani wale jamaa hutumia ujuzi wa hali ya juu sana kufata ushahidi katika crime scenes...sijui kama bado inapeperushwa...ni katika etv..pia ungemshauri afatilie story za crime kwenye listverse.com....wanaandika vizuri sana pia
Okay My Friend. I Do That. But Napenda Pia Kufuatilia Hizi Real Life Events.invest in a good collection of movies and series that relate with crime and investigation.
Iyo Ni Ngori. Mpaka Nikae Chini Na Nitulie Labda Ntaelewa Maana Kuna MaSlangs Hapo Sijawah Kusikiakazi kwako mkuu...ukiambulia kitu hapo utakuwa tayari umepata jawabu zote unazohitaji [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji125]
Sasa Why Are Guns That Easily Accesible Huko Kenya. Tena Kwa MaKids Hata Hawajamaliza School.yea juan kuna madingo waangushwa wakizidisha ufala thats afact siezi support mwizi mimi imagine kakijana kapienga ka 12yrs kanakuibia na gun no second thoughts ukikataa kanakulisha dengu
Guys Napenda Tu Kuandika Ivyo. Naona Kama Identity. Sorry Kama Nawaboa Nayo.Labda anatype kwa simu. Kila simu na mti do wake
mkuu mbona unaharibu lugha yetu ya taifa?Thanks Man. Uyo Jamaa Sijui Ni Vipi.Mi Nimekua Naifuatilia Kenya Tangu Enzi Nakua Kwakuangalia Kina Mzee Ojwang Na Yule Mfupi Na Kina Othorong'ong'o. Pia Igizo La TAUSI Kina Siti,Lindi,Baraza N.k. Niliachana Na Kufuatilia Izo Mambo Mpaka Kipindi Ile Ya Violence Za Uchaguzi, Nlisikitika Koz Ni Majirani And Niliogopa Na Sisi Isije Ambukiza. Mohamed Ali Ndo Alinifanya Niwe Interested More Hasa Investigative Articles Zake About Crime Na Mambo Za Rushwa Koz I Wish Na Tz Tungepata. Alikuepo Mmoja (Jerry Muro) Alianza Ivyo Wakammada Na Kesi Ya Corruption Akaacha Na Kutangaza. I Just Love Kenya But To He Honest Im Afraid Koz Hapo Nai Inaonekana Kuna Mambo Mob Sana Yanaendelea Alafu Kuuana Nje Kwa Nje. Ndo Sasa Izi Mambo Za Hessy. Duh. Moha Na Yule Jamaa Ake Anawekaga Kwa English Ndo Wamenfanya Nimekua Nafuatilia Sana Izo Habari. I Loved Jinsi Wamefuatilia About The George Saitoti Death Kitu Ambayo Naweza Sema Ilinifanya Nijiulize Kuhusu Mbunge Mmoja Tz Alikufa Kwa Crash Ya Helicopter Kama Saitoti. Sidhani Kama Kuna Ubaya Kujua Mambo Za Kenya Namna Hiyo Waseee!
My friend sheng sio ngumu kama mtu akiamua kuitumia, sio lazima uishi Kenya ndo ujue!Watz pia hutumia "wasee" nlidhani hiyo ni sheng ....this guy is Kenyan ..or has stayed in kenya
The guy has set his device to capitalize every first letter of the word!Nimeshindwa kuchop hizi comments zako juu ya vile unazichora. Niaje unamix CAPITAL letters na small letterz hiyo njaro? Inaboo.
Nadhani simu nyingi za android zina huo uwezo, sina hakika sana na simu za IOSEish! Hiyo sasa ni simu aina gani? Nimepitia tu juu juu hiyo comment yake ya first, nikaachana nayo.
what do you mean Real Life Events? crime iko kila mahali... mbona uConcentrate na issues za Kenya?Okay My Friend. I Do That. But Napenda Pia Kufuatilia Hizi Real Life Events.