johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Takribani tani 260 za mahindi kutoka Tanzania yamekwama katika mpaka wa Holili upande wa Kenya yakihofiwa kuwa na sumu kuvu
Meneja wa TRA kituo cha Holili amesema mahindi hayo yamepimwa upande wa Tanzania na kuonekana ni salama kwa chakuka lakini yapofika Kenya yalizuiwa na kuchukuliwa sampuli kupelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali yao kwa uhakiki.
Chanzo: ITV habari
Pia soma > RC Shigella: Hakuna mahindi yaliyozuiwa kuingia Kenya kupitia mpaka wa Horohoro, Jana na leo tumevusha tani 570
Maendeleo hayana vyama!
Meneja wa TRA kituo cha Holili amesema mahindi hayo yamepimwa upande wa Tanzania na kuonekana ni salama kwa chakuka lakini yapofika Kenya yalizuiwa na kuchukuliwa sampuli kupelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali yao kwa uhakiki.
Chanzo: ITV habari
Pia soma > RC Shigella: Hakuna mahindi yaliyozuiwa kuingia Kenya kupitia mpaka wa Horohoro, Jana na leo tumevusha tani 570
Maendeleo hayana vyama!