Nimefurahi sana kuona jinsi watu wanaingia kwenye kilimo
Kilimo kina changamoto sana na moja ni kama unazozipata kwa sasa..Kwa ushauri wangu ni kwamba kwa sababu huna store ya kuhifandhi hayo mahindi ni bora uyauze yakiwa mabichi kwa ajili ya kuchoma na ukizingatia yatakupatia faida kubwa tofatuti kabisa na hata ukija kusaga na kuuza. Jaribu kwenda kwenye masoko kama kariakoo, Mabibo na tandika ukafaye utafiti mahindi mabichi ni bei gani, najua sio chini ya sh 350 - 400 kwa moja, halafu tafuta mtaji kidogo tu wa kukodisha gari ukayauze mwenyewe sokoni, epuka sana kutumia madalali kwani watakunyonya kama kupe watanunua mahindi kwa jumla 150 - 200 kwa kila moja na utashangaa wanayauza kwa 350-400 kwa kila moja
Kila la kheri.
Kilimo kina changamoto sana na moja ni kama unazozipata kwa sasa..Kwa ushauri wangu ni kwamba kwa sababu huna store ya kuhifandhi hayo mahindi ni bora uyauze yakiwa mabichi kwa ajili ya kuchoma na ukizingatia yatakupatia faida kubwa tofatuti kabisa na hata ukija kusaga na kuuza. Jaribu kwenda kwenye masoko kama kariakoo, Mabibo na tandika ukafaye utafiti mahindi mabichi ni bei gani, najua sio chini ya sh 350 - 400 kwa moja, halafu tafuta mtaji kidogo tu wa kukodisha gari ukayauze mwenyewe sokoni, epuka sana kutumia madalali kwani watakunyonya kama kupe watanunua mahindi kwa jumla 150 - 200 kwa kila moja na utashangaa wanayauza kwa 350-400 kwa kila moja
Kila la kheri.