irenengowi
Member
- Jan 31, 2011
- 11
- 2
mhhh unajua inakuwa kama vile watu wamemeza the red pill and its getting deeper and deeper
jamani hebu acheni umbea, Nyaga hajazaa na Rehema. Amezaa na mwarabu koko wa Mauly Tours. Mimi nimemjua Nyaga kwa miaka mingi sana na hajawahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na Rehema, nilifanya kazi Mawalla advocates so please ongeeni facts and tuepuke umbea.
i gree with you juu ya hili,but on top of it lets keep peoples private lives private as much as we keep ours private.:clap2:
This is yet another milestone in our endeavours to bridge the communication gap between ourselves and our customers and our general stakeholders.
It was discovered during BRELA strategisation process that, BRELA badly needed the views and opinions of its customers and stakeholders for rendering effective, efficient and accurate services.
The major task towards that end, was therefore, to clear the communication barriers and bridge up the gap, through among other means, initiating a sustainable dialogue with our customers and stakeholders, particularly on how they wished to be served.
Among the concrete steps so far taken, include the convention of customers and stakeholders meeting with BRELA, BRELA's participation in Trade fairs, the use of both electronic and print media with a view to providing public education and awareness specifically tailored to meet our customers and stakeholders requirements. Collection of customers' and stakeholders' views through questionnaires and use of same as inputs in our service rendering strategies and plans. So far the results are very much encouraging and there has been a tremendous reduction in complaints.
We are happy to introduce this website which we are sure is reaching many customers and stakeholders within Tanzania and abroad. The information contained in this site will not only quench the information thirst which perpetually bothered and disturbed them, but also opens up another avenue through which such customers and stakeholders will easily access information on BRELA and even have some online services in a foreseable future. If you have any comment we value it. Please let us have it through contacts on this site. Enjoy your surf. (surfing???)
Thank you very much.
Esteriano E. Mahingila
Bwana Mahingila naomba urudi darasani kusoma kiingereza....hujachelewa...hii ndio sababu wawekezaji makini hawaji Tanzania kutokana na mambo kama haya
Mkuu....
Rehema Kitambi ni Assistant Registrar wa BRELA - Client.... Nyaga Mawalla ndiyo CEO wa MAWALLA Group.... Supplier (investor in terms of Public Private Partnership) Nyaga na Rehema ni wazazi .. wana mtoto..
the unfold story is....
Nyaga na Rehema wameanza urafiki wa kimapenzi tangu Arusha School kwenye miaka ya 1984-85 ..... wamekuwa wapenzi University of Dar es salaam wakiwa wote kitivo cha sheria miaka ya 1994-95..... wamemaliza pamoja Nyaga amerithi kampuni ya Sheria ya Baba yake... na Rehema ameajiriwa BRELA....
Do we have any confidence with the practices under these circumstances....? I completely doubt
Mkuu kwanza kabisa kabisa lazima ujue hii BRELA ina mapungufu makubwa sana kwanza kwa kuanzia suala la Software statistic inaonyesha kuwa hizi nchi za mashariki Ukraine,Russia na Estonia ni wabaya sana kwa masuala ya IT na zimeingia kumia bora kwa kutoa IT Expert bora mfano ukiangalia SKYPE ilikuwa developed software lakini naweza kukuhakikishia the best software ambayo ingeweza kuwa desined kukidhi mahitaji ya Brela ingeweza kugharibu dola 10000 za kimaekani ambacho kiwango chake ni kubwa kutokana na ushiriki wa watalamu wengi kwenye software more kwa hivyo kwa suala la billioni moja hapo kuna ubatilifu mkubwa sana wa fedha manake mimi mwenyewe nimedevelop software kubwa sana ya sheria kwa bei rahisi sana huu ni upmbavu sijui nchi hii inaenda wapi tu
Pili kumeibuka wimbi kubwa la matapeli wengi sana kutoka nchi za africa magharibi na kati ambao wamekuwa wakiwaibia wageni na hasa wakidai kuwa wanamiliki makaakampuni ya madini kibaya zaidi hiyo program imekuwa haitoa mwanya mzuri wa kugagua makampuni na pia kumekuwa na mlolongo mkubwa sana wa kuhakikisha kama kweli kampuni ipo au haipo ambao imekuwa ikiwachosha wadau na matokeo yake kuangukia kwenye mikononi mwa magenge ya matapeli
jamani hebu acheni umbea, Nyaga hajazaa na Rehema. Amezaa na mwarabu koko wa Mauly Tours. Mimi nimemjua Nyaga kwa miaka mingi sana na hajawahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na Rehema, nilifanya kazi Mawalla advocates so please ongeeni facts and tuepuke umbea.
Huu nao uongo. Nyaga alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Rehema. Nasikia alimnunulia na gari enzi hizo. Inawezekana wakati unafanya kazi kwa mawalla walikuwa wameshaachana. Ila sina uhakika kama wamezaa mtoto pamoja.
jamani hebu acheni umbea, Nyaga hajazaa na Rehema. Amezaa na mwarabu koko wa Mauly Tours. Mimi nimemjua Nyaga kwa miaka mingi sana na hajawahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na Rehema, nilifanya kazi Mawalla advocates so please ongeeni facts and tuepuke umbea.
irenengowi....jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza... nani asiyejua Rehema amezaa na nyaga mawalla..... you are outdated.... nikupe simu ya kaka yake Rehema Kitambi... Alex Kitambi umuulize akuthibitishie..... haumjui nyaga vilivyo kama huyo aliyeleta hiyo data hapa.... believe me or not..... muulize nyaga mwenyewe atakuambia ana mtoto na Rehema....
My dear Mdizi, Nyaga hajazaa na Rehema! Anamtoto mmoja wa kike alie zaa na mwarabu wa moshi. Nikupe namba ya Nyaga umuulize? Acha kujifanya mjuaji...wewe ndo uko kigazi!
mkuu irene ngowi...huyo mwarabu wa maully tours aliyejenga nyumba kwenye open space kwenye junction ya barabara ya kilimanjaro opposite na nyumba za askofu katoliki moshi shanty town inafaamika...mbona unabisha ukweli...kwani nyaga akiwa na mtoto na rehema kuna ubaya gani.... muulize nyaga akuthibitishie ,...wala hafichi...nikupe simu ya kaka wa rehema kitambia anaitwa alex kitambi umuulize...irenengowi...wewe unaukataa ukweli ...lakini nyaga muhusika anakubali kwakuwa ni mtoto wake na ni damu yake...sishangai wewe kukataa kwani huna facts ...... unacharuka tuuu
mdizi, facts ninazo zote, sikataai kwamba anashindwa kuzaa na rehema but point is that he did not! Mimi ningepaswa niwe mchumba wake Nyaga lakini tulizinguana mpaka akanifukuza kazi...
Unangangania sana kunipa namba ya Alex, kwani hujui kwamba alex ndo anasambaza uongo kwamba nyaga alimzalisha rehema? Its just a little game of his to make small minded people like you believe that nyaga fathered his sisters child. He is doing it to make Nyaga look like a liar when he tells people kwamba anamtoto mmoja tu!
Hawa Mawalla si ndo wenye eneo kubwa mithili ya kijiji pale Arusha opposite na TANAPA's HQ?
Mwenye more info kuhusu Mawalla please feed me.
Ndio wenyewe mkuu. Hawa jamaa walinunua eneo kubwa sana pale Olasiti Arusha zamani maeneo hayo yalikuwa ya Burka Estate.Hawa Mawalla si ndo wenye eneo kubwa mithili ya kijiji pale Arusha opposite na TANAPA's HQ?
Mwenye more info kuhusu Mawalla please feed me.