MAHINGILA of BRELA: Another dodgy CEO

jamani hebu acheni umbea, Nyaga hajazaa na Rehema. Amezaa na mwarabu koko wa Mauly Tours. Mimi nimemjua Nyaga kwa miaka mingi sana na hajawahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na Rehema, nilifanya kazi Mawalla advocates so please ongeeni facts and tuepuke umbea.
 
mhhh unajua inakuwa kama vile watu wamemeza the red pill and its getting deeper and deeper
 
mhhh unajua inakuwa kama vile watu wamemeza the red pill and its getting deeper and deeper


People should just find constructive issues to talk about. This topic has shifted from something potentially interesting to upuuzi mtupu from people who post posts simply because wana access ya keypad or keyboard. ....mara oh mawalla hivi, mawalla vile...mnamjua hata sura ama mnabwata tu?
 

i gree with you juu ya hili,but on top of it lets keep peoples private lives private as much as we keep ours private.:clap2:
 
i gree with you juu ya hili,but on top of it lets keep peoples private lives private as much as we keep ours private.:clap2:

Its good to know that there are a few sensible people out there. I was afraid I would have matusi thrown in my direction...
 

Kwa nini wasiandike tuu kwa kiswahili?
 

Acha uongo wewe!! Mwaka 1995, Kitambi mwenyewe alikuwa wala hajaja mlimani. Pia hajamaliza pamoja na Nyaga. Uongo mtupu. Hata hiyo ya kuanza urafiki wa kimapenzi tangu Arusha School kwenye miaka ya 1984-85, nina wasiwasi nao.
 

Mkuu hata CMS ya bure kama WordPress inaweza kukidhi mahitaji yote ya BRELA. Juzi tuu Russia imeamua kuwa tovuti zote a serikali zitumie free softwares. Siku hizi kuna free CMS kibao, nao sioni umuhimu wa kuspend hela zote hizo kwenye kisoftware kama hicho
 

Huu nao uongo. Nyaga alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Rehema. Nasikia alimnunulia na gari enzi hizo. Inawezekana wakati unafanya kazi kwa mawalla walikuwa wameshaachana. Ila sina uhakika kama wamezaa mtoto pamoja.
 
Huu nao uongo. Nyaga alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Rehema. Nasikia alimnunulia na gari enzi hizo. Inawezekana wakati unafanya kazi kwa mawalla walikuwa wameshaachana. Ila sina uhakika kama wamezaa mtoto pamoja.

Mwaka 84 Nyaga alikua na miaka 11...kuna mtu kweli anakuwa na mahusiano ya kimapenzi at that age?
Wewe uliesikia kwamba Nyaga kamnunulia gari enzi hizo, ulikutwa? Secondly una uhakika gani kwamba walikua na mahusiano? Ulikutwa?
 

irenengowi....jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza... nani asiyejua Rehema amezaa na nyaga mawalla..... you are outdated.... nikupe simu ya kaka yake Rehema Kitambi... Alex Kitambi umuulize akuthibitishie..... haumjui nyaga vilivyo kama huyo aliyeleta hiyo data hapa.... believe me or not..... muulize nyaga mwenyewe atakuambia ana mtoto na Rehema....
 

My dear Mdizi, Nyaga hajazaa na Rehema! Anamtoto mmoja wa kike alie zaa na mwarabu wa moshi. Nikupe namba ya Nyaga umuulize? Acha kujifanya mjuaji...wewe ndo uko kigazi!
 
My dear Mdizi, Nyaga hajazaa na Rehema! Anamtoto mmoja wa kike alie zaa na mwarabu wa moshi. Nikupe namba ya Nyaga umuulize? Acha kujifanya mjuaji...wewe ndo uko kigazi!

mkuu irene ngowi...huyo mwarabu wa maully tours aliyejenga nyumba kwenye open space kwenye junction ya barabara ya kilimanjaro opposite na nyumba za askofu katoliki moshi shanty town inafaamika...mbona unabisha ukweli...kwani nyaga akiwa na mtoto na rehema kuna ubaya gani.... muulize nyaga akuthibitishie ,...wala hafichi...nikupe simu ya kaka wa rehema kitambia anaitwa alex kitambi umuulize...irenengowi...wewe unaukataa ukweli ...lakini nyaga muhusika anakubali kwakuwa ni mtoto wake na ni damu yake...sishangai wewe kukataa kwani huna facts ...... unacharuka tuuu
 

mdizi, facts ninazo zote, sikataai kwamba anashindwa kuzaa na rehema but point is that he did not! Mimi ningepaswa niwe mchumba wake Nyaga lakini tulizinguana mpaka akanifukuza kazi...
Unangangania sana kunipa namba ya Alex, kwani hujui kwamba alex ndo anasambaza uongo kwamba nyaga alimzalisha rehema? Its just a little game of his to make small minded people like you believe that nyaga fathered his sisters child. He is doing it to make Nyaga look like a liar when he tells people kwamba anamtoto mmoja tu!
 


the truth has unfold...kumbe tatizo lako ni jealous ya mapenzi.... kwa taarifa yako.... Rehema amezaa na Nyaga.... sasa kama Nyaga hajazaa na Rehema hiyo unajua wewe...... it is too late for you to reverse it.... hukubahatika kuzaa nae that's all .... usiweke kinyongo wala usi pretend kutokukubali ukweli itakusumbua sana...humu JF watu hawacharuki wala kukurupuka kama wewe... hili bandiko lina karibu mwezi humu jamvini...... kuna majukwaa ya kucharuka ..... so pathetic that you have irrational thinking and i have realized that your blatant behavior can lead you not to accept the truth on the ground
 
Sliding roof...

You have your own bar when it comes to kuibua issues na quality ya ku-provoke critical thinking, unfortunately wengi tunaishia kwenye emotions tu!!

Binafsi nimesoma na Nyaga... he is briliant talent nakumbuka hata uamuzi wake wa kuacha sayansi huku akiwa one of the best scorers in PCM 1993 na kwenda kusoma law ilikua gumzo... he is visionary na hahitaji hii skimmish deed anayoonekana anaenda nayo kwa kushirikiana na maskini wa akili walio serikalini kuumiza taifa kwa kuongeza cha juu

software ya BRELA haiwezi kuzidi dollar 3000 (tufanye 30K kabisa) kama purchase na maintenance service contract ndio yenye pesa

Ni mswahili mwenzetu so we need to advice that he keeps it clean

BTW... MsandoAlbert wa JF ndiye yule aliyekua na Nyaga au ni kuchafua tu majina?
 
Irene pole, Nyaga ni msanii. Kati ya wanawake ambao hawezi kuachana nao ni huyo unayemuita mwarabu koko Moza (the cute one) na Rehema, nyie anawasoundisha tu mnampatia uroda anawaacha.

Unaposema ulikuwa uwe mchumba ndiyo hukuwa na ni history kwa sasa, nyaga ana watoto wawili first born kwa moza sec kwa Rehema. Na Rehema alianza naye wakiwa UDSM though walisoma na Arusha Sc. Na alikuwa naye kimaslahi kwani alikuwa anamsaidia kuregister makampuni ya clients wake hata bila kukanyaga Dar.

Usiugulie mapenzi kihivyo bi dada utapata gonjwa la moyo. Japo ulipokuwa ofisini kwa Nyaga ulikuwa unajishebedua...
 
Hawa Mawalla si ndo wenye eneo kubwa mithili ya kijiji pale Arusha opposite na TANAPA's HQ?

Mwenye more info kuhusu Mawalla please feed me.

Advocate Mawala ni issue...popote anapopitia anaacha footprint. Uzuri anapit kisheria kwahiyo trafic hawana ubavu wa kumdhibiti
 
Hawa Mawalla si ndo wenye eneo kubwa mithili ya kijiji pale Arusha opposite na TANAPA's HQ?

Mwenye more info kuhusu Mawalla please feed me.
Ndio wenyewe mkuu. Hawa jamaa walinunua eneo kubwa sana pale Olasiti Arusha zamani maeneo hayo yalikuwa ya Burka Estate.
 
Siamini kama kweli hicho kiasi chote kimeenda kutumika kwaajili ya shughuli moja!Jamaa alivyokuwa bahili hawezi kukubali matumizi ya kiasi hicho.
Anyway,nitafanya uchunguzi kujua kama ni kweli au lah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…