I beg to differ,
Kukataa mtoto ni irresponsibility ya hali ya juu ambayo mwanadamu anaweza kuifanya.Hata baadhi ya wanyama wanaosemwa kutokuwa na akili kama binadamu wanajua kutunza watoto. Waswahili wanasema damu nzito kuliko maji, sasa huyu aliyeshindwa kuitunza damu (mtoto wake mwenyewe) ataweza kuwaenzi watu baki (maji) ?
Fikra kama hizi za "kukataa mtoto na uongozi ni vitu tofauti" ndizo zinatupa viongozi kama kina Pinda na Kikwete.
Kama mtu hana discipline kiasi cha kufanya rape (mahakama iangalie kama anaweza kushtakiwa kwa statutory rape) tena kwa mfanyakazi wake wa ndani, unafikiri akipata nafasi ya kuwa rape wananchi wa Morogoro katika ufisadi atakuwa na discipline ya ku resist?
Sija question kama anaweza au hawezi kugombea, certainly this is a straight provision of his civil rights.What I am questioning is his ability to lead.These are two different things and should not be confused as one.