Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 787
- 1,056
Waheshimiwa, baada ya kukamilisha hatua ya kuchimbia bomba ukutani,
Sasa Fundi umeme amenipa mahitaji ya wiring kama ionekanavyo hapa chini.
Kwa nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning room na jiko,
Kiasi Cha wire wa milimita 1.5 = mita 250,
Na milimita 2.5 = mita 70,
Ni sahihi?
View attachment 2172402
Sasa Fundi umeme amenipa mahitaji ya wiring kama ionekanavyo hapa chini.
Kwa nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning room na jiko,
Kiasi Cha wire wa milimita 1.5 = mita 250,
Na milimita 2.5 = mita 70,
Ni sahihi?
View attachment 2172402