Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Wadau,
Muda huu ninaangalia Bunge maalum la Katiba lenye uwakilishi wa makundi mbalimbali.
Kwa mujibu wa kanuni za Bunge hilo zinatambua tu watu wenye mahitaji maalum ambao ni walemavu wa ulemavu unaoonekana kama Ulemavu wa Macho, Viungo, Ngozi, Wazee, wanawake wajawazito n.k
Swali langu je wanaosinzia Bungeni mara kwa mara kama akina - Komba na wale wenyevitambi ufisadi wao sio kundi lenye mahitaji muhimu? na kama ndvyo hivyo kuna jitihada gani kulitambua rasmi kundi hili?
Muda huu ninaangalia Bunge maalum la Katiba lenye uwakilishi wa makundi mbalimbali.
Kwa mujibu wa kanuni za Bunge hilo zinatambua tu watu wenye mahitaji maalum ambao ni walemavu wa ulemavu unaoonekana kama Ulemavu wa Macho, Viungo, Ngozi, Wazee, wanawake wajawazito n.k
Swali langu je wanaosinzia Bungeni mara kwa mara kama akina - Komba na wale wenyevitambi ufisadi wao sio kundi lenye mahitaji muhimu? na kama ndvyo hivyo kuna jitihada gani kulitambua rasmi kundi hili?