JituParaTupu
Member
- Nov 20, 2008
- 92
- 9
Wadau, nauliza hivi bado kuna malipo kwa ajili ya watoto wetu wanaosoma shule za sekondari? Mtoto wangu ameniletea barua kutoka shule ikinitaka kulipia mahitaji kama nilivyoorodhesha hapa chini:-
1. Michango ta Walimu (PTT).............. Sh. 26,000/=
2. Ada ya shule..................................... Sh. 20,000/=
3. Mitihani ya kanda TAHOSSA........... Sh. 15,000/=
4. Ukarabati........................................... Sh. 15,000/=
5. Taaluma............................................. Sh. 10,000/=
6. Ulinzi.................................................... Sh. 5,000/=
7. Graduation/Mahafali....................... Sh. 5,000/=
8. Vifaa vya usafi................................... Sh. 4,000/=
9. Michezo.............................................. Sh. 2,000/=
JUMLA:................................................ Sh. 102,000/=
Nimekuwa nikisikia kauli mbali mbali za viongozi wetu wakisisitiza kutokuwepo na malipo katika shule za serikali.
Je, malipo haya ni halali? Nawasilisha.
1. Michango ta Walimu (PTT).............. Sh. 26,000/=
2. Ada ya shule..................................... Sh. 20,000/=
3. Mitihani ya kanda TAHOSSA........... Sh. 15,000/=
4. Ukarabati........................................... Sh. 15,000/=
5. Taaluma............................................. Sh. 10,000/=
6. Ulinzi.................................................... Sh. 5,000/=
7. Graduation/Mahafali....................... Sh. 5,000/=
8. Vifaa vya usafi................................... Sh. 4,000/=
9. Michezo.............................................. Sh. 2,000/=
JUMLA:................................................ Sh. 102,000/=
Nimekuwa nikisikia kauli mbali mbali za viongozi wetu wakisisitiza kutokuwepo na malipo katika shule za serikali.
Je, malipo haya ni halali? Nawasilisha.