M24 Headquarters-Kigali JF-Expert Member Joined Jul 9, 2012 Posts 8,199 Reaction score 8,186 Jan 10, 2017 #81 Tupo bize na Askofu chekibobu mpigaji
knysna JF-Expert Member Joined Nov 30, 2016 Posts 351 Reaction score 109 Jan 10, 2017 #82 Kapata mpopo
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Jan 10, 2017 #83 Gobe said: Hizi figisufigisu za huyu dada mi nishazichoka. akipata bwana akae kimya, maana naona kama wanaonyesheana kwamba ukiniacha basi napata mwingine next level Click to expand... Kwani amekuja kukuonyeshea kwenu?au wewe ulipoona uzi unamuhusu ukaja mbio na kiherehere chako cha umbea?
Gobe said: Hizi figisufigisu za huyu dada mi nishazichoka. akipata bwana akae kimya, maana naona kama wanaonyesheana kwamba ukiniacha basi napata mwingine next level Click to expand... Kwani amekuja kukuonyeshea kwenu?au wewe ulipoona uzi unamuhusu ukaja mbio na kiherehere chako cha umbea?
Ngorunde Platinum Member Joined Nov 17, 2006 Posts 4,672 Reaction score 9,806 Jan 11, 2017 #84 kichomiz said: Kwani amekuja kukuonyeshea kwenu?au wewe ulipoona uzi unamuhusu ukaja mbio na kiherehere chako cha umbea? Click to expand... Teh..! Watu mna maneno.
kichomiz said: Kwani amekuja kukuonyeshea kwenu?au wewe ulipoona uzi unamuhusu ukaja mbio na kiherehere chako cha umbea? Click to expand... Teh..! Watu mna maneno.