Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Na ndilo Diamond alitakiwa afanye kukubali au kukaa kimya badala ya yeye na mzazi mwenzie Zari kumshambulia Hamisa mitandaoni suala la kumtunza mtoto sio hisani asipofanya hivyo kwa hiali basi sheria itamlazimisha
Diamond hakumkana mtoto na ndio maana alikua anamuhudumia.hamisa alitaka tu sifa kwamba na yeye ni mwanamke kazaa na dai wakati dai hakuona umuhimu wa kupiga tarumbeta maana ni maisha yao na sio ya wengine
 
Akili ni nywele na hamisa ndio kaamua kuwasikiliza walimwengu, katika maisha usijifananishe case yako na ya mwingine eti kisa zari anapewa $2500 per month na yeye anataka hahah doh
Yeye ni baby mama tu mwenzie ni mwandani wake hawawezi kuwa sawa.... binafsi naumia tu Yule mtoto wa majizzo hana mama hapo.... ataishia kuwa kama mama na bibi yake
 
Ila hamisa naye michecheto ilizidi utafikiri mond ndo alimtoa bikira
Pata picha wewe ni Mama yake Himisa na unao ndugu zako wanajua bint yako mjamzito the ukiulizwa Mimba ya Dai kesho Dai anakana kwenye public unafikiri Familia inalichukuliaje hili swala.
 
Hiyo ni kwa Mondi tu angekuwa msanii mwengine haswaa huyo Ali Kiba watu wasinge jiangaisha kumtazama.
 
KWA KUWA DIAMOND ALIKUWA ANAMKATAA MTOTO, BASI HAMISA AMEFANYA JAMBO LA MANA KULETA USHAHDI KWA SABABU DIAMOND ANGEKUFA MTOTO ANGEKOSA HAKI ZAKE KWA 7BU YA KUKATALIWA NA BABA. ILA SASA JAMII IMESKILZA BILA CHEMBE KUWA MTOTO NI WAKE

KTK HLI HAMISA AMECHEZEA AKILI NDOGO YA MTOTO WA TANDALE.

HALAFU INAELEKEA HAMISA NI MTAMU SANA MPK MTU ANAWEKA MAKAZ WAKAT AMEPITA KWA WENGNE KMYAKMYA
 
Pata picha wewe ni Mama yake Himisa na unao ndugu zako wanajua bint yako mjamzito the ukiulizwa Mimba ya Dai kesho Dai anakana kwenye public unafikiri Familia inalichukuliaje hili swala.
Angetaka kuwa public asingekubali kufanywa siri toka mimba changa..... yeye alitaka kuwa main chick na kumkomoa mganda mwisho wa siku vyote vimefeli.
 
Huu ujinga ukiuchanganya na umasikini wetu basi unazaa kitu kibaya zaidi. Huyu kijana hajui kuwa hata watoto wetu walikuwa wanamsikiliza.
Kila mmoja hapa akumbuke kuwa wakati mume wa yule dada yuko mahututi, kitu muhimu kwake zilikuwa ni details za bank na waliotaka kukorofishana naye ni waliozidai. Sasa hapa kijana wetu anadhani ataendeleza ujinga ule ule wa chips-mayai wa wadada wa kibongo lakini huyu kwao wanamuiita 'gold digger' na ndipo kijana wetu atajua what is all about celebrity and fame!
 
Umeshawahi kuniona natukana au umejisahau kwamba upo Jf ulidhani ni Insta! Sina huo muda wa kumtukana mtu nisiyemjua
Ndo hivyo muache kushabikia mambo msiyoyajua iwe insta au hapa JF.
Nimemaliza
 
Pata picha wewe ni Mama yake Himisa na unao ndugu zako wanajua bint yako mjamzito the ukiulizwa Mimba ya Dai kesho Dai anakana kwenye public unafikiri Familia inalichukuliaje hili swala.
Embu nikuulize ni mastaa wangapi wamezaa nje na hatujui baba zao?? Unataka kunambia baba zao hao waliwakan? Hawawatunz? Tatizo ni kwamba hamisa mwenyewe na familia yake ndo walitaka fahari kwamba watu wajue kazaa na mond na ndo alikuwa anaanzisha varangati lote insta
 
Ustawi wa jamii unarecomend hela ndogo zaidi kuliko ambavyo baba angetoa kwa hiari...... ustawi upo kulinda haki za mtoto zaidi sio maisha ya ufujaji ya mama... kwa sheria ataumia zaidi na mtoto anavyozidi kukua na yeye atazidi kupauka mtoto akianza shule boarding kwisha habari yake sio ulaya hapa....
So far diamond ana akili timamu hawezi kuacha kulea mwanae sababu ya akili mbili za mama, ujinga wa sperm donor anauweza Nay wa mitego
 
Angetaka kuwa public asingekubali kufanywa siri toka mimba changa..... yeye alitaka kuwa main chick na kumkomoa mganda mwisho wa siku vyote vimefeli.
Ungekua wa Kiume ningekujibu ila hope maumivu ya kukanwa wakati tendo mmefanya wote tena na kutukanwa "MALAY.A anayetafuta jina" kwenye public unayafahamu kama bint.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…