Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Naomba nimpongeze Hamisa, mwisho wa siku Diamond amekubali mtoto hadharani, amembana vizuri mpaka ile siri imekuwa sio siri tena.. Hata wakimbeza but atleast amewin recognition status..
Ila Mondi apunguze umalaya
 
Mtu ana mahusiano yake yanajulikana alafu unakubali na wewe kumvulia nguo na mimba unamtegeshea halafu uwe namba moja
Ndipo wanaposhangaza umekubali kugongwa kimya kimya na hautegemei mtoto kuwa wa kimya kimya! Aliyewaroga hawa watu alishakufa
 
Alimuita hivo baada ya hamisa kuanzisha kutimtim insta kwan angekaa kimya angetukanwa SAA ngap hamisa ndo zile type za wanawake akitembea na MTU fulan anaenda jitangazia
Kipi wakati unamkana mtoto mbele za watu tukiwa wawili unamkubali So jamii inanichukulia kwamba Nakusingizia mtoto.Alichoongea cha Msingi ni kwamba yeye Mondi ndo ameyasababisha yote baada ya kuogopa kumwambia Zari.
 
My Dear Hs,

vuta pumzi, kunywa maji.
Mahusiano ya Diamond na Zari yapo public. Mtu aliyekubali kuwa side chick akubali matokeo yote.
Mmh ukijua kufungua zipu ujue na kuwa responsible. Anayeumia hapa ni mtoto asiye na hatia yoyote, na sio hao watu wazima waliokodisha ufahamu wao. Huyo diamond hakujua ana main chick?
 
Kitu kigumu kabisa maishani sio kuushinda umaskini ila ni kuumanage utajiri..walioshindwa wite katika maisha wanapanga ni vipi watakuangusha kwa njia yeyote ile...kwa kuwa sasa chibu keshakubali mtoto ni wake na kuonyesha how regretfull he is,kesi imefungwa that cheap illiterate slut hamisa hana kingine cha kumuweka kwenye headlines...karata ngumu iliobaki ni zari atalichukuliaje....kama zari akichukulia kiroho safi...kwa mara nyingine tena chibu na zari watakuwa wameshinda na mange,hamisa and the likes wakajipange tena...
 
nipo hapa mbele Kabisa na popcorn zangu......



clouds tunaomba mje mbalance story Kama mlivyotaka kufanya ktk ile story ya Gwajima mpaka bashite akawavamia.... .na hamisa ahojiwe ili aeleze upande wake.. maana kwa Maelezo ya dai hamisa ni shetani wa mguu mmoja ilihali yeye Diamond ni mkosaji tu wa kawaida
Kweli kbc
 
Oyaaaaaaaa
Nimefurahi kumsoma kaandika hayo
Mwanamke ukijitambua ndio vizuri.. safi sana Mamaaaaaaaa... akome D kutembeza liguu lake la tatu..

Zari oyeeeeeee
Wewe siasa zimekiharibu aisee

Eti Zari oyeeeeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa mwanaume kama mimi kosa la diamond kubwa ni kumkana mtoto on public siku ya interview, lile swali alitakiwa ajibu kwa sura mbili 1. Angewaeleza waandishi sipo tayari kujibu hilo swali lakini muda mwingine nitajibu 2 . Angekubali mtoto ni wangu lakini sina mahusiano zaidi na mama yake naomba radhi kwa familia yangu na mashabiki na wote waliokwazika na hili.
Hilo ndo kosa lake kubwa, agekubali tu kama alivyokubali leo. "Jamani eeh ni kweli kosa limetokea ila mtoto ni wa kwangu period". Siku 2 tu tushasahau mbona
 
Sio kwamba mtoto angekuwa wa siri forever no na sio kwamba mtoto asingemjua babaake hapana halafu swali je kuna faida gani kuwafurahisha walimwengu kwamba umezaa na mtu Fulani?? Watakupa matunzo?? Baba kakubali mtoto , japo ni siri lkn kakubali hii ni kwasababu hataki kuharibu uhusiano wake na mke wake tatizo sisi wanawake walio wengi hatutaki kukubali kwamba hatupendwi hilo ndo tatizo mwanaume kulala na ww, mpaka mimba mpaka kukubali mtoto doesn't mean kwamba anakupenda na kukubali mtoto kwa siri hii ni ishara kwamba hupendwi inabidi ukubali as long as unapata mahitaji yote ya mtoto..
Sasa hamisa na upumbavu wake hakuangalia mbele kwamba hizo 70k kwa siku, 500k kwa wiki (as if ni kweli) zinaweza kumsaidia ye na mwanae instead of competing with zari ambaye kampita miles nyingi sana, sasa atakuwa anaambulia laki 2 kwa mwezi, poor hamisa
Nakuambia hivi hawez ambulia laki 2 ,na mtoto mwingine anazaliwa upo
Na dai hawezi muacha Hamisa
 
Kipi wakati unamkana mtoto mbele za watu tukiwa wawili unamkubali So jamii inanichukulia kwamba Nakusingizia mtoto.Alichoongea cha Msingi ni kwamba yeye Mondi ndo ameyasababisha yote baada ya kuogopa kumwambia Zari.
Ila hamisa naye michecheto ilizidi utafikiri mond ndo alimtoa bikira
 
Nimesoma baadhi ya comments za wanaume, nimeishia kuumia. Majority ya wanaume hawajali hisia za watoto wao, wao wanachojali ni kutoa pesa tu. Eti mtu kakomaa "nimempa millioni 7, nimemnunulia Rav 4", so kama unampa hela ndo umkane mwanao? That's too from a person aliyekanwa na baba ake, angalau yeye alipewa hata na jina la mzee Naseeb, naona Hamissa aliambiwa atumie jina la baba ake as if yeye ndo alimtia mimba. Mtu kumkubali mtoto wake hata kama ana uwezo wa kumpa sh 200 means a lot to the kid. Hivi huyu mtoto angekuaje kwneye mazingira ya kumuona baba anaspend some quality times na watoto wake wengine afu wewe mwenzangu hata kupiga picha na baba ni uchochezi maana picha ikivuja ni tatizo, watu wanaelewa kweli what it means to be a father? Huyu mtoto angekua kwenye saikolojia ya hali gani? Tena bora baba anayekukataa mazima, kuliko ambaye anakufanya siri sijui anakuonea aibu kisa nini sijui. Afu baba zima na akili zake linakuja eti "Hamissa kajikosesha mengi", pumbaff linawaza material things tu. Hivi kuna mmama anayebeba mimba miezi 9 akashindwa kumlea mwanae hata kama ni kwa kunywa uji?

Kama diamond alishakiri na kuomba msamaha kwa familia yake (zari na kwa ndugu zake), ni nini kilimfanya aendelee kumficha mtoto? Trust me hata dunia nzima ikugeuke, as long as familia yako imekuelewa na inakussuport, kila kitu kitakuwa sawa tu eventually.
Alikuwa anawahofia wabongo? Hao wanaume wa kumnyooshea diamond vidole wako wapi, hawa ambao kucheat ni nature yao na ndo ufahari wao? Na sisi wanawake ambao tunaamini all men cheat? Seriously alikuwa anajisikiaje mtoto wake anavyotukanwa eti hana baba? Mbona angekubali tu mapema, siku mbili tu tungeshasahau. Albert msando yalimkuta kwa giggy lakini he owned up his mistake na tushasahau na ndoa yake imesimama kama kawaida. Sidhani kama yangefikia yalipofikia leo kama Dai angekubali mapema tena angeweka mazingira mazuri na angekuwa free kukata mazoea yasiyo na msingi na Hamissa, in case of chochote, anawaomba tu familia isimamie

Kwa hilo Hamissa la kutoa hiyo misiri hadi dai kamuaccept mtoto publicly nampongeza kabisa, hakuna mtoto wa public na private. Ila liwe somo kwake na kwa mabinti wote tunaoembrace kuwa the other woman na kufanywa kisirisiri, maana mwishowe na mtoto atakuwa wa sirini, dhambi kubwa sana. Angekuwa mwanamke mwingine hapa ungemsikia "Aah nimenunuliwa gari na nyumba, mwanangu anasoma vizuri hata asipomuweka wazo mtoto ni sawa tu" pambaff yani watu wanafanya watoto vitega uchumi afu mtoto anaishia kupata a lifetime psychological torture. Kuhudumia hata loan board imehudumia watu wengi tu, ila sio baba ake mtu. Hili limeshapita mbona, amlee tu mwanae kwa uhuru
Huu wakaka ungekua unamgusa mtu mwenye akili timamu na hajajiwekea mazingira ya kuwa perceived kama gold digger unamake sense sana. Kama umeona hii situation huyu mama hajaja public ili mtoto alelewe vizuri rather kaja public kuonesha amelala na diamond na kumkomoa huyo mganda... angekua kweli anapigania haki ya mtoto kilimchomfanya akubali mimba kuwa siri ni nini? Unampa ushauri mtu ambae akili zake tu hazimtoshi... haya sasa diamond kakubali mtoto publicly kafaidika nini? Zaidi ya kudhalilika zaidi, na huyu kawa very honest mtoto hafichiki na muda ungefika mtoto angetambulishwa vizuri tu.
Nikupe mfano... Nina mtu wangu wa karibu mkewe ana watoto wa kiume watatu wakubwa mdogo yupo chuo mumewe ana mchepuko na kapata mtoto wa kike amekua kidogo Yule mtoto anajulikana mpaka kwa kaka zake na ukoo mzima tunajua anahudumiwa vizuri na nyumba mama kajengewa lakini baba hajathubutu kusema kwa mkewe sababu wote tunajua yule mama ni mtu wa aina gani muda ukifika atajua tu ...
So wanawake tuache kujigonga kwa watu wenye watu wao wanaojulikana wana mahusiano yao na kubeba mimba juu... anaeumia ni mtoto sababu hakuna mtu anaebakwa wala kushikiwa mtutu unless huyo mwanaume alikudanganya hana mahusiano. Tanzania sio ulaya kwamba sheria za child support zinabana.
 
Hapo Diamond alishanasa, Hamisa alikuwa na uwezo wa kumuomba chochote cha maana na angetoka kimaisha na kuacha kujiuza uza. Ningekuwa mie ndio Dai, ningemalizana na Zari wangu then nifanye utaratibu wa kumchukuwa mwanangu.
Yani angeyatoa kiulaini sana maana sio siri Diamond mpunga anaoingiza katika kila event ni ndefu na yupo kwenye peak so anasign deals hela inaingia toka kila upande.

Kwa wanawake wale wanaojua kula na kipofu watamtukana sana huyu fala..Option aliopewa ilikuwa ni rahisi sana. Kaaa kimya tu mama usiongee kitu!!!

Mbona wengine baba zetu walizaa na mama wengine watoto wakapigishwa life kimya kimya mpaka wamekuwa mke mkubwa anakuja kugundua siku ya msiba wa baba.
Hamisa ni kichwa maji tu...ieleweke hivyo!
 
Na wenzako kushabikia vitu msivyovijua na kumtukana bint wa Watu.
Umeshawahi kuniona natukana au umejisahau kwamba upo Jf ulidhani ni Insta! Sina huo muda wa kumtukana mtu nisiyemjua
 
Back
Top Bottom