Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hata mastaa wakubwa kama C.Ronaldo ,Rooney wanawatoto wengi tu nje lakini mahusiano yao ni ya siri sana.Akili nyingi zipi hizo? Kapewa kila kitu hili akae kimya wakati Diamond akiwalea wote, yeye na mtoto.
Kile kidogo alichokua anapata nacho kimeminywa ndio akili yenyewe? Angekaa kimya akaishi maisha ya kula raha tu
Jinga kabisa, lingekaa kimya lingeendelea kupendwa na kutunzwa pamoja na mtoto ila kwa kuwa ameleta uswahili atakula 200k ya mtoto kwa mwezi pumbavuTatizo lipo hapo kukubali uhusiano wa siri na mume wa mtu au mwanaume wa mtu alafu unategemea mtoto awe public
Hapana haijafungwa NdoaSamahani kwani ndoa walishafunga nahoji tu??
kuresponsible ni vipi zaidi yaMmh ukijua kufungua zipu ujue na kuwa responsible. Anayeumia hapa ni mtoto asiye na hatia yoyote, na sio hao watu wazima waliokodisha ufahamu wao. Huyo diamond hakujua ana main chick?
Hamisa ameshawahi kujibu mimba ni ya Dai?Embu nikuulize ni mastaa wangapi wamezaa nje na hatujui baba zao?? Unataka kunambia baba zao hao waliwakan? Hawawatunz? Tatizo ni kwamba hamisa mwenyewe na familia yake ndo walitaka fahari kwamba watu wajue kazaa na mond na ndo alikuwa anaanzisha varangati lote insta
Embu nikuulize ni mastaa wangapi wamezaa nje na hatujui baba zao?? Unataka kunambia baba zao hao waliwakan? Hawawatunz? Tatizo ni kwamba hamisa mwenyewe na familia yake ndo walitaka fahari kwamba watu wajue kazaa na mond na ndo alikuwa anaanzisha varangati lote insta
Hapo Sasa na hamisa kufanya yt haya kwa sababu ametukanwa cn mitandaon Sion kosa la hamisa kisa tu huduma Kwan ye babake alikuwa anamhudumia mbona amekuwa sasaHakukua na sababu ya Mond kumkataa mtoto anayempa huduma kwa maneno ya kinywa chake redioni. Kitendo kile ni bora hata hiyo huduma asingetoa kwa maana hata mtoto akikua atayakuta haya tunayoyafanya Leo kwenye social media na huo uhusiano wa baba na mtoto unaousema hapa hautokua mwema si kwa sababu ya Hamisa ila ni kwa sababu ya Diamond mwenyewe, kwa maana hakuna sehemu Hamisa aliyomtukana Diamond ila Mond amenukuliwa mara kadhaa akimtukana Hamisa na mwanae.
N.B mtoto atakua tu hata bila huduma ya baba,wanawake wa Leo sio wa mwaka 47 umshushie kichapo alafu avumilie tu kisa anawaza watoto atawapeleka wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ok i guess wewe ndio wale Team Mondi.Hiyo ni kwa Mondi tu angekuwa msanii mwengine haswaa huyo Ali Kiba watu wasinge jiangaisha kumtazama.
Mimi malaya type za hamisa sitaki,kuanzia leo mwanamke akija kwangu simu aache hom kwake.sitaki ushahidi wa hawa wanyama wakaliKupokea laki tano kwa wki.....
Million 7 kwa jili ya delivery...
Brand nyuu car....
.....na kufanya upumbavu alioufanya....
NI KIELELEZO CHA MWANAMKE PUNGUANI ASI NA MFANO...
Video za chumban na picha za mama Domo amepeleka nani kwa wambea? Domo anasema hata story za siku aliyoenda kulala zinavujishwaHamisa ameshawahi kujibu mimba ni ya Dai?
Ingekua wewe ungekaa kimya unakula pesa taratibu wakati jamii inajua unamsingizia Dai mimba wakati ameshasema hamjawahi kua japo na mahusiano.Embu nikuulize ni mastaa wangapi wamezaa nje na hatujui baba zao?? Unataka kunambia baba zao hao waliwakan? Hawawatunz? Tatizo ni kwamba hamisa mwenyewe na familia yake ndo walitaka fahari kwamba watu wajue kazaa na mond na ndo alikuwa anaanzisha varangati lote insta
Na wewe ulipita celeb forum ili upate story za stock market?Nacho shangaa hapa nmekaa nikapita twita insta na huku naona watu mna diskasi life ya mtu
Hii nchi bwana m naona sawa katiba iwekwe hata lais akae kama m7 tuu
Mnaacha kuwa za logic thing mnadiskas maisha ya mond kweli
This country is rotten
Kabisa et watu wajue kwahiyo wakijua wanakusaidia nn, tena mwanaume anakwambia mm siwez kuachana na zar hata iweje bado yumo tuNisaidie kumshangaa... wewe mtoto wa monalisa au Odama baba zao unawajua? But behind the scene am sure wanatunza watoto wao na familia inajua.... tatizo Hamisa na mama ake wote wana akili za kimalaya tu
Huu wakaka ungekua unamgusa mtu mwenye akili timamu na hajajiwekea mazingira ya kuwa perceived kama gold digger unamake sense sana. Kama umeona hii situation huyu mama hajaja public ili mtoto alelewe vizuri rather kaja public kuonesha amelala na diamond na kumkomoa huyo mganda... angekua kweli anapigania haki ya mtoto kilimchomfanya akubali mimba kuwa siri ni nini? Unampa ushauri mtu ambae akili zake tu hazimtoshi... haya sasa diamond kakubali mtoto publicly kafaidika nini? Zaidi ya kudhalilika zaidi, na huyu kawa very honest mtoto hafichiki na muda ungefika mtoto angetambulishwa vizuri tu.
Nikupe mfano... Nina mtu wangu wa karibu mkewe ana watoto wa kiume watatu wakubwa mdogo yupo chuo mumewe ana mchepuko na kapata mtoto wa kike amekua kidogo Yule mtoto anajulikana mpaka kwa kaka zake na ukoo mzima tunajua anahudumiwa vizuri na nyumba mama kajengewa lakini baba hajathubutu kusema kwa mkewe sababu wote tunajua yule mama ni mtu wa aina gani muda ukifika atajua tu ...
So wanawake tuache kujigonga kwa watu wenye watu wao wanaojulikana wana mahusiano yao na kubeba mimba juu... anaeumia ni mtoto sababu hakuna mtu anaebakwa wala kushikiwa mtutu unless huyo mwanaume alikudanganya hana mahusiano. Tanzania sio ulaya kwamba sheria za child support zinabana.
kwanini uhukumu kwamba kavujisha yeye.pia tayari ushasema mimi ni Mayal.a natafuta jina kwenye public how can i prove kwamba ndio wote tulikesea tukachepuka lakini mzigo wa kuchepuka niubebe peke yangu na zaidi wewe pia in public unanitukana.Video za chumban na picha za mama Domo amepeleka nani kwa wambea? Domo anasema hata story za siku aliyoenda kulala zinavujishwa
Karibu wanaume 80 pcnt tunacheat! Kosa la Diamond ni kucheat na mwanamke asiyekubali nafas yakeMmh ukijua kufungua zipu ujue na kuwa responsible. Anayeumia hapa ni mtoto asiye na hatia yoyote, na sio hao watu wazima waliokodisha ufahamu wao. Huyo diamond hakujua ana main chick?
angekua sio hivyo asingekipeleka kipochi manyoya kwa huyo kaka na kubeba mimba juu, kufanya mambo magumu mmeweka makubaliano unayavunja. Mama unatunzwa mtoto anatunzwa familia zote mbili zinajua uwepo wa mtoto unataka nini cha ziada? Mwisho wa siku mtoto hafichiki angejulikana tu sasa mahusiano aliyotaka kuyavunja hayajavunjika anampa tabu mtoto asiye na hatia.Ungekua wa Kiume ningekujibu ila hope maumivu ya kukanwa wakati tendo mmefanya wote tena na kutukanwa "MALAY.A anayetafuta jina" kwenye public unayafahamu kama bint.