Best video directorAnd the winner is Mobeto
mmmh.Halafu picha hajavujisha hamisa hv mnalijua hilooo?kuna mtu kutoka WCB ndo kazivujisha
OK.kirusi cha twaweza
Wewe bawacha uache kuwashwa washwa...wewe huna uwezo wa kusoma hivyo vitabu...Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Nilikuwa napita tu,kuna mtu namtafutawa kutafuta vitabu unafanya nini huku
Pilau likipikwa nyumba ya jirani au nyama choma ile harufu inajidhihirisha tu kuwa ni tamuHivi unajuaje utamu wa chakula Bila kuonja?
Hiyo inaitwa,, mission field, lazima anajuta Sana huko aliko, hamisa, alijua atavuruga mahusiano ya domo na zali,
..kubali tu mkuu...hata humu umechangia sababu hiyohiyo....we fikiria angekuwa lofa mwingine kama ungesema chochoteAaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Nyoo unadhani kuchuna pesa ndefu ni kazi rahis?!!hamisa unaona from 5m kaambulia laki 2...Ilo swala la kuelewana na zarina hassani kama lina ukakasi kidogo ebu tuone maana watu wa bongo fleva washakua waongo km wazee wa kudeal na makinikia ila diamond ana pesa asee wadada wanaleta mzaha sana kwnn hamisa ujapewa ubongo wangu aseee saivi ningekua namalizia nyumba ya mtoto huku biashara zikiendelea vzr nasubiria mwezi ujao niende dubai kupumzika na mtt tu daaah
Safi xana.Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Kwani Lowasa and Co wamo JF?Nilikuwa napita tu,kuna mtu namtafuta