Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Jamani jamani!! Zari aliwakosea nini lakini? Mie nampenda zari na namhurumia sana ktk hili.
[emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] namtaka duly mie aniolee mwana
 
Dah..kuna watu mna viherehere sana ss hpo nyie mnaumizwa na nn? jamaa kazaa na demu pembeni tatzo lko wp hpo!
 
Then start now. Wamezaa
Kuna watu wana viherehere sana ndg yng eti km kazaa na hamisa ntakuwa hater... haaaaahaaaa ss ye inamuhusu nn? ni nani kwenye ile familia hadi apanic kiasi hk? akisha kuwa hater ndio? watu wanajua bhana kujipendekeza wanatamani wangekuwa member wa familia ya madale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…