Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Mnaweza kufuatilia kupitia YouTube pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maelezo yake hakuna alipokana mimba, toka ifahamike anamimba Hamisa anapewa laki tano kwa wiki.Naona dogo ameshauriwa akubali mtoto inaelekea huko naona amekubali kumgonga
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] binamu weweee looj!ndo nilichokua nataka akubali mtoto hayo mengine shauri yaoMaoni yangu:
Mi nimefurahi aisee daimond kukubali mtoto maana haiwezekani wanawake wa Tz washindwe kuzaa na daimond
Hamisa nakushauri najua daimond anapenda k akija mtegeshee nyingine uzae mwingine wa pili haraka haraka hata watatu umzidi zari halaf sasa funga kizazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Recognition kwani lazma iwe kwenye media,kama alikuwa anamtunza na kumgharamia inamaanisha alishamtambua na kumkubali kama wa kwake sasa ulitaka abebe bango wakati tayari yuko kwenye mahusiano na mtu mwengine?,mi haya mambo ya baby mama dramas sio mjuvi sana ngoja niwaache wajuzi.Hivi unaijua Recognition wewe!? Ni zaidi ya pesa,kitendo cha Diamond kumkubali tu mtoto wa Hamisa hata asipotoa mia ni faraja kwa Hamisa,msituletee mambo yenu kuna tendo la siri ila hakuna mtoto wa siri watoto wote wote wote wana baba zao wawatunze wasiwatunze ni lazima wajulikane na sio kumkataa kataa kisa unaleta sent kumi zako
HAPANA TUMESHAFIKISHA DOLA ELF 20 VIVA MANGEEEEEEEEEEE NAONA WASIOJULIKANA WANATAMANI WAKAMUONGEZEE RISASI ZA KICHWANaona watu mmemsahau Lissu kwa muda da!!
Huyo binti video zake tu inaonyesha empty kichwani kama Wolper ila watu kama Majizo na Mondi wanaonekana wajanja lakini wamepiga dry chama mpka mimbaKweli watu wanabet uhai na kujitangaza wazi
Pesa sio utu, pesa ni nini Mbele ya utu wa mtu malaika yule aliyekanwa mbele ya jamii? Bora msilete hata mia ila heshimuni utu wa mtuKabisa...amefanya vizuri na pia kulinda jina namziki wake lakini wadhamini wake pia...unajua uongo ukisema sana unakuwa ukweli..mtu unapewa laki tano kila wiki
Rav4mpyaa mil 25.
Ukapewa mil 7kununua mapocho pocho ya mtoto
Na milioni nne za hosp.. Nk nk...halafu bado unavujisha..hako kabinti kamejiharibia..
Amepewa lift anataka kupiga honi,Kwa maelezo yake hakuna alipokana mimba, toka ifahamike anamimba Hamisa anapewa laki tano kwa wiki.
Siku ya kujigungua kapewa milioni saba ya hospitali......alipojifungua akaoewa milioni saba ya vitu vya kwenye chumba cha mtoto...alimtumia Mama yake akamsalimie mtoto.
Tatizo la Hamisa ni uswahili ndio unaomsumbua......Mbona viongozi na raia wa kawaida tunazaa nje mara sana ila mhimu ni kuheshimu makubaliano.
Mobeto alitaka ajione yeye ndio Zari au atachukua nafasi ya Zari.... Wakati Mondi alishamwambia Zari kwamba nimechepuka na Mobeto ......
Hamisa ukigodoro umemzidi.
Kuna majitu humu majinga yanamuona hamisa chizi loohHata Mimi hapa najiuliza! Kwa hiyo alitaka Hamisa aendelee kutukanwa ili yeye apone!? Sijawahi ona mwanaume mjinga kama huyu kwa kweli haya ngoja tungojee na kwa Dilish Mathew. Kweli kuna umuhimu mkubwa sana kwa Mtoto wa kiume kulelewa na Baba maana Diamond angelelewa na babake asingeshikiwa akili na mwanamke hata siku moja
Maneno hayo ya kwenye media mtoto atayakuta na atayaishi ndani yake ! Kikubwa Diamond alikosea na sasa amefanya marekebisho na kutambua kwamba kuteleza si kuanguka" kwa hilo nampongeza SanaRecognition kwani lazma iwe kwenye media,kama alikuwa anamtunza na kumgharamia inamaanisha alishamtambua na kumkubali kama wa kwake sasa ulitaka abebe bango wakati tayari yuko kwenye mahusiano na mtu mwengine?,mi haya mambo ya baby mama dramas sio mjuvi sana ngoja niwaache wajuzi.


















Miguu hata ikiwa mifupi, ilimradi ikupisha safari yako ! Kuna wenye miguu mirefu wanaishia kusaga disc !Ikitokea wasikilizaji tukapewa muda wa kupiga Simu na kumuuliza ' Ndomo ' swali nikipata tu line nitamuuliza hivi ni kweli kwamba ana ' Mkuyenge ' bamia kama ambavyo inasemekana au tunaaminishwa na hasa wale wanaomjua ' Kindakindaki ' na pengine aliowabandua?
Ila nimeamini usiusemee moyo. Zari alivyokuwa anabisha mtoto siyo wa Diamond. Halafu alivyokuwa anajiamini yupo peke yake utafikiri huwa anatembea na dudu ya Diamond kwenye handbag yake.Mengine mbwembwe tuu
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Then start now. Wamezaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Anhaa...Dai angekataa ungeona nini kingeshuka insta..
maanadalizi yalikuwa tayari.
Asante tuache tusikilize vitu vinavyoeleweka, huku hatuna kamusi.Pole mi sipo huko kubishana endeleeni kuburudika na nyimbo mnazozipenda, cheers
Dada ahsante sanaaaaaaaaHivi unaijua Recognition wewe!? Ni zaidi ya pesa,kitendo cha Diamond kumkubali tu mtoto wa Hamisa hata asipotoa mia ni faraja kwa Hamisa,msituletee mambo yenu kuna tendo la siri ila hakuna mtoto wa siri watoto wote wote wote wana baba zao wawatunze wasiwatunze ni lazima wajulikane na sio kumkataa kataa kisa unaleta sent kumi zako
Hata asipompiga chini funzo atakua kalipa.Zari Kumpiga Chini Diamond baada ya hii interview... Stay Tune