Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Ingekua wewe ungekaa kimya unakula pesa taratibu wakati jamii inajua unamsingizia Dai mimba wakati ameshasema hamjawahi kua japo na mahusiano.
Ingejua saa ngapi wakati sina mpango nayo hiyo Jamii maana haitanisaidia chochote zaidi ya kufurahisha nafsi zao tu, ila inaelekea hamisa aliplan haya yote kuanzia mimba yaan alitega zile siku za kupata mimba ili aje amkomoe zari kumbe anajikomoa mwenyew
 
CMG ni maji,naona anayanywa sasa...
 

Attachments

  • PhotoGrid_1505820505060.jpg
    PhotoGrid_1505820505060.jpg
    71.6 KB · Views: 30
Nimesoma baadhi ya comments za wanaume, nimeishia kuumia. Majority ya wanaume hawajali hisia za watoto wao, wao wanachojali ni kutoa pesa tu. Eti mtu kakomaa "nimempa millioni 7, nimemnunulia Rav 4", so kama unampa hela ndo umkane mwanao? That's too from a person aliyekanwa na baba ake, angalau yeye alipewa hata na jina la mzee Naseeb, naona Hamissa aliambiwa atumie jina la baba ake as if yeye ndo alimtia mimba. Mtu kumkubali mtoto wake hata kama ana uwezo wa kumpa sh 200 means a lot to the kid. Hivi huyu mtoto angekuaje kwneye mazingira ya kumuona baba anaspend some quality times na watoto wake wengine afu wewe mwenzangu hata kupiga picha na baba ni uchochezi maana picha ikivuja ni tatizo, watu wanaelewa kweli what it means to be a father? Huyu mtoto angekua kwenye saikolojia ya hali gani? Tena bora baba anayekukataa mazima, kuliko ambaye anakufanya siri sijui anakuonea aibu kisa nini sijui. Afu baba zima na akili zake linakuja eti "Hamissa kajikosesha mengi", pumbaff linawaza material things tu. Hivi kuna mmama anayebeba mimba miezi 9 akashindwa kumlea mwanae hata kama ni kwa kunywa uji?

Kama diamond alishakiri na kuomba msamaha kwa familia yake (zari na kwa ndugu zake), ni nini kilimfanya aendelee kumficha mtoto? Trust me hata dunia nzima ikugeuke, as long as familia yako imekuelewa na inakussuport, kila kitu kitakuwa sawa tu eventually.
Alikuwa anawahofia wabongo? Hao wanaume wa kumnyooshea diamond vidole wako wapi, hawa ambao kucheat ni nature yao na ndo ufahari wao? Na sisi wanawake ambao tunaamini all men cheat? Seriously alikuwa anajisikiaje mtoto wake anavyotukanwa eti hana baba? Mbona angekubali tu mapema, siku mbili tu tungeshasahau. Albert msando yalimkuta kwa giggy lakini he owned up his mistake na tushasahau na ndoa yake imesimama kama kawaida. Sidhani kama yangefikia yalipofikia leo kama Dai angekubali mapema tena angeweka mazingira mazuri na angekuwa free kukata mazoea yasiyo na msingi na Hamissa, in case of chochote, anawaomba tu familia isimamie

Kwa hilo Hamissa la kutoa hiyo misiri hadi dai kamuaccept mtoto publicly nampongeza kabisa, hakuna mtoto wa public na private. Ila liwe somo kwake na kwa mabinti wote tunaoembrace kuwa the other woman na kufanywa kisirisiri, maana mwishowe na mtoto atakuwa wa sirini, dhambi kubwa sana. Angekuwa mwanamke mwingine hapa ungemsikia "Aah nimenunuliwa gari na nyumba, mwanangu anasoma vizuri hata asipomuweka wazo mtoto ni sawa tu" pambaff yani watu wanafanya watoto vitega uchumi afu mtoto anaishia kupata a lifetime psychological torture. Kuhudumia hata loan board imehudumia watu wengi tu, ila sio baba ake mtu. Hili limeshapita mbona, amlee tu mwanae kwa uhuru
Acha ujinga watoto wangapi wanalelewa na baba zao ilihali wameoa wanawake wengine. Muhimu ni upendo tu, kama baba ana time na wewe anakuja kukuona mama yako shida iko wapi?
Huyo hamisa alijidanganya na kujazwa upepo na wajinga akiwemo mwanasheria uchwara na wajinga jinga fulani kuwa akilifurumua atakuwa na chances za kupewa mil.5 kwa mwezii. Sidhani kama hili ulilitilia maanani katika story nzima
 
Karibu wanaume 80 pcnt tunacheat! Kosa la Diamond ni kucheat na mwanamke asiyekubali nafas yake
Ndo alikwambia haijui nafasi yake? Yeye ametaka mtoto wake awe recognized publicly na ndo kilichotokea. Kila siku mwanangu atukanwe hana baba kisa nini? Endeleeni na uzinzi wenu ila yakiwakuta muwe wanaume kweli mkubali watoto wenu publicly.
 
Acha ujinga watoto wangapi wanalelewa na baba zao ilihali wameoa wanawake wengine. Muhimu ni upendo tu, kama baba ana time na wewe anakuja kukuona mama yako shida iko wapi?
Huyo hamisa alijidanganya na kujazwa upepo na wajinga akiwemo mwanasheria uchwara na wajinga jinga fulani kuwa akilifurumua atakuwa na chances za kupewa mil.5 kwa mwezii. Sidhani kama hili ulilitilia maanani katika story nzima

Mwerevu wewe, lemme save my energy. Mtoto ndo ashakubaliwa
 
kuresponsible ni vipi zaidi ya
1. kumtambua mwanao na kumwita jina la ukoo
2. kumtunza mama yake tangu ujauzito hadi malezi yote ya mtoto. full
3. kuwajibika kuongeza njia ili mama mtoto asipate tabu sana kujifungua.
4. kumtambulisha mwanao kwa ndugu zako woote.

SIYO
1. kuharibu mahusiano uliopo yenye watoto pia, ati kumridhisha aliyeridhia kuwa SIDE CHICK
2. kuzunguka kwenye radios kuelezea habari za wanao na familia yako.


Sielewi kinachowauma ni nini hapa. Mmesema wenyewe mnachotaka nyie ni HELA, wanaume wawape hela ya kutosha. Si mnapewa? Makosa yakitokea kila mmoja anatakiwa kuwajibika. Diamond kawajibika kivyake na kiasi chake na kingetosha kabisa.
Huyo aliyesema anataka hela ni mimi au umenifananisha na nani? Nyie kinawauma nini diamond kumkubali mtoto wake publicly? Utu kwanza
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
watu wachuizwe na mambo ya mtu biafsi?si use...ng.e huo?kama nyibo zake ni nzuri sikiliza hazifai ziache,maisha yake binafsi hayo,yeye na zari wanajuana na wanaweza kuachana hata leo.waliachana na wazazi wao itakuwa wao?wabongo bhana!
 
Ingejua saa ngapi wakati sina mpango nayo hiyo Jamii maana haitanisaidia chochote zaidi ya kufurahisha nafsi zao tu, ila inaelekea hamisa aliplan haya yote kuanzia mimba yaan alitega zile siku za kupata mimba ili aje amkomoe zari kumbe anajikomoa mwenyew
Dah haya bhana mie ni kaka sijui wewe.ila nasikia uchungu sana pale mbele za watu unakana mimba ukitoka hapo unanitumia pesa ya matumizi.ningekua Hamisa nisingezipokea hadi asafishe jina langu kwenye jamii.Dhambi hii tumefanya wawili kwanini mimi nidhalilishwe kisa ndoa yako kwani wakati tunafanya kujua Zari yupo?
 
Ndo alikwambia haijui nafasi yake? Yeye ametaka mtoto wake awe recognized publicly na ndo kilichotokea. Kila siku mwanangu atukanwe hana baba kisa nini? Endeleeni na uzinzi wenu ila yakiwakuta muwe wanaume kweli mkubali watoto wenu publicly.
Soma Cv za Marais na Wabunge wa Tanzania wa kiume walio declare idadi ya watoto hadharani, hakuna watoto wa side chicks ni wachache wamewaweka na ni wale waliokulia kwenye familia! Hatuwaoni mama zao wakija Insta tena wengine ni wasanii wenzie huyo Mobeto! Kuna mstaafu mkubwa namjua ana watoto zaidi ya kumi ila waliopo kwenye public ni chini ya hao! Watoto wanakula bata tu na future imeandaliwa nyumba,gari na shule nzuri wanaenda! Sababu ni kuheshimu masharti ya privacy
 
Halafu tusimuukumu hamisa tu lazima kutakuwa kuna kitu hakikwenda sawa katika makubaliano yao ndio maana yule demu akaamua kufanya vile
Nahisi undercover Hamisa alianza akili ya kumtia vikwazo diamond kwa expense ya kutunza siri,

mf: nae kutaka makuu awe na nyumba South, au mjengo kama wa Madale kwa force af Dai akamtolea povu ndio akaja kuyamwaga kama kukomoa tu baada ya kukataliwa matakwa yake.
 
Acha ujinga watoto wangapi wanalelewa na baba zao ilihali wameoa wanawake wengine. Muhimu ni upendo tu, kama baba ana time na wewe anakuja kukuona mama yako shida iko wapi?
Huyo hamisa alijidanganya na kujazwa upepo na wajinga akiwemo mwanasheria uchwara na wajinga jinga fulani kuwa akilifurumua atakuwa na chances za kupewa mil.5 kwa mwezii. Sidhani kama hili ulilitilia maanani katika story nzima
Kwa akili hizi ndio watoto wanakua na maisha mabovu na Diamond ajifunze kwenye sakata lake inawezekana hata yeye baba yake hakumtelekeza ila mama yake alisababisha drama na kumlisha yeye sumu
 
Soma Cv za Marais na Wabunge wa Tanzania wa kiume walio declare idadi ya watoto hadharani, hakuna watoto wa side chicks ni wachache wamewaweka na ni wale waliokulia kwenye familia! Hatuwaoni mama zao wakija Insta tena wengine ni wasanii wenzie huyo Mobeto! Kuna mstaafu mkubwa namjua ana watoto zaidi ya kumi ila waliopo kwenye public ni chini ya hao! Watoto wanakula bata tu na future imeandaliwa nyumba,gari na shule nzuri wanaenda! Sababu ni kuheshimu masharti ya privacy

Mtajijua na uzinzi wenu, afu angalau hao role models wako hawajawahi kuwakana watoto wao publicly . Diamond kanifurahisha leo, weka mwanao wazi bana, nyie mkiwapata waficheni tu. Seriously at that age bado unahisi mwanao anahitaji tu kwenda shule na gari sijui utumbo gani? Duuh kweli age has nothing to do with maturity. Byeeee
 
Nisaidie kumshangaa... wewe mtoto wa monalisa au Odama baba zao unawajua? But behind the scene am sure wanatunza watoto wao na familia inajua.... tatizo Hamisa na mama ake wote wana akili za kimalaya tu
Dah haya Bana.Dai alishikiwa bastola kutembea na Malay.a?
 
Mimi personally, mwanangu atafanywa wa siri only if nimekufa, au kama atamkana mazima kuwa sio baba yake ndo ntamuelewa na sitomuhusisha na mwanangu, sio vya kumkana publicly kwa kejeli afu unakuja kwangu "mwanangu". Yani unikane mbele za watu kuwa mimba si yako, uchane verse mtoto si wako na uniite bitch juu kisa nini? Tena bora angeamua kukaa tu kimya kuliko kumkana publicly. Hamissa hajamkomoa mganda, yeye kaweka facts mezani kuwa ni kweli diamond ndo baba wa mtoto wake, kila mtu apambane na hali yake. For the records mganda ni baby momma tu kuzaa na boyfriend hakuzuii wanawake wengine kuzaa naye, so wote tuzaliage ndoani, simshauri mtu azae na boyfriend wake wala boyfriend wa mtu mwingine . Na ni upumbavu kama Dai alilifanya hilo siri kisa kumuogopa Zari. And yes maybe Hamissa alikubali kufanya hilo siri ila mbeleni kaona anamuumiza tu mtoto wake, tatizo liko wapi? Kwa nini Dai amkatae sasa hivi afu baadaye ndo aje kamkubali? Mlitaka siku Dai amekufa ndo msibani waanze "na huyu ni mtoto wake" eishhhh

Huyo ndugu yako anayetunza kimya kimya, doesn't mean anachokifanya ni sahihi. Kama wanawaogopa wake zao kiasi hicho basi wafunge zipu na sio kuwapa watoto psychological torture. Matunzo kitu gani bana, Utu kwanza. Kama ulilelewa na baba yako kwa upendo na ukawa recognised publicly, utakuwa umeelewa how it feels kutambulika tu "mtoto wa fulani" na kuhave your father's attention anytime you need it. Dai akisema amkomeshe Hamissa kwenye child support, atakayeumia ni mtoto wake and sidhani kama Hamissa atakubali mwanae adhalilike, atamtunza tu kwa hizo 200 zake. Limeshatokea, dai atunze mwanae na mostly important awepo kwenye maisha ya mwanae, that's the best thing any parent can do to his child. Mchana mwema dear
Unaemtetea yeye hana smart mentality kama yako..... and am sure kwa mentality yako huwezi kuzaa na mtu ambae ana mahusiano ya wazi whether ameoa au hajaoa... na hapa naomba tusigeneralize waangalie wahusika kamili.... kwa situation ya diamond na zari mtu unaenda kuzaa pale kwa matarajio gani?
Ndugu yangu siwezi kumsemea sababu sijui alicheat katika mazingira gani, kwa situation ilivyo bora mtoto akakua akawa na uwezo wa kujidefend ndo ataelewa situation coz kwa sasa hawezi kuelewa sababu baba anamuona more often pesa kitu kibaya sometimes sababu angekua masikini mke angejua lakini sababu ya pesa distance iliyowekwa ukiwa unaangalia kwa nje unaweza usiolewe kwa hofu...
Wanaume ni wanyama wanawake tulinde nafsi zetu wanaume wachache sana wanakataa kipochi manyoya especially kikijileta
 
Mtajijua na uzinzi wenu, afu angalau hao role models wako hawajawahi kuwakana watoto wao publicly . Diamond kanifurahisha leo, weka mwanao wazi bana, nyie mkiwapata waficheni tu. Byeeeee
Kusema una watoto 5 wakati wapo kumi unasema hajakana watoto hadharani?
 
Unaemtetea yeye hana smart mentality kama yako..... and am sure kwa mentality yako huwezi kuzaa na mtu ambae ana mahusiano ya wazi whether ameoa au hajaoa... na hapa naomba tusigeneralize waangalie wahusika kamili.... kwa situation ya diamond na zari mtu unaenda kuzaa pale kwa matarajio gani?
Ndugu yangu siwezi kumsemea sababu sijui alicheat katika mazingira gani, kwa situation ilivyo bora mtoto akakua akawa na uwezo wa kujidefend ndo ataelewa situation coz kwa sasa hawezi kuelewa sababu baba anamuona more often pesa kitu kibaya sometimes sababu angekua masikini mke angejua lakini sababu ya pesa distance iliyowekwa ukiwa unaangalia kwa nje unaweza usiolewe kwa hofu...
Wanaume ni wanyama wanawake tulinde nafsi zetu wanaume wachache sana wanakataa kipochi manyoya especially kikijileta
Nafikiri point yangu ilikuwa ni hii "kama walikubaliana kumfanya mtoto wa siri, at least asingemkana publicly". Angezuga tu hiyo habari. Kwanza siri ya nini? Kwa nini tuwatese watoto?
 
Na hajawahi hata siku moja kumuongelea sehemu yoyote.
Yani nashindwa kuelewa watu kuchagua pesa kuliko utu. Baki na pesa zako niachie utu wangu Dhambi tufanye wote then unakuja kwenye public Eti Malaya anata Kiki, Ningekua Hamisa hivyo vi milioni mbili vyake kwa mwezi nisingepokea.Zinaweza kua nyingi ila utu wangu na zaidi ya hizo aisee
 
Back
Top Bottom